Ameachiwa baada ya wanasheria wake kufungua kesi kutaka apelekwe mahakamaniOkay.
Sasa aendeleze kula asizimie.
Fisi hawana utashi. Huwa wanabugiana mmoja akizubaa.Hivi wanyama wa aina moja wanaweza kulana wao kwa wao
🤣✍️🙏Fisi hawana utashi.Huwa wanabugiana mmoja akizubaa.
Angepewa glucose kabla ya kuongeaOkay.
Sasa aendeleze kula asizimie.
Ni zamu yao wenyewe CCM kuumizana kwa kutumia vyombo vya dola baada ya kuwaumiza wakinzani wao.Kuteswa kwa zamu.Watajuana wenyewe.Polisi imekuwa ya hovyo kuliko wakati wowote. Culture ya kuteka watu imekuwa kama Kula nyama ya watu. Mpaka press zifanyike ndo wanaachia watu.pfuuuu natamani wawapeleke nje hawa viongozi wao waone polisi zingine zinavyoheshimu sheria
Thanks ngoja niwaache wafu wazike wafu wao.Ni zamu yao wenyewe CCM kuumizana kwa kutumia vyombo vya dola baada ya kuwaumiza wakinzani wao.Kuteswa kwa zamu.Watajuana wenyewe.
Usizubae unaweza ukajikuta umechanganywa na pilau.
MBUNGE wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.
Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula.
Pia Soma:
Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa
Habari kutoka Ngorongoro ni kwamba Mbunge wa Jimbo hilo, Emanuel Ole Shangai amechukuliwa na wasiojulikana. Habari ni kwamba amepakiwa kwenye gari jeusi na kutokomea naye kusiko julikana. Vyanzo vya habari zinasema alikuwa akitokea mjini arusha alivyofika karibia na mji wa karatu eneo la rhotia...www.jamiiforums.com
Walipoambiwa waungane na kujifunza kupinga uovu walibisha na kuishi kwa kudekadeka.Ni muda wao sasa umefika wa kujifunza kwa njia ngumu zaidi.Thanks ngoja niwaache wafu wazike wafu wao.