Mbunge wa Ngorongoro aachiwa huru. Asema aligoma kula kwa siku tatu

Mbunge wa Ngorongoro aachiwa huru. Asema aligoma kula kwa siku tatu

Nchi imeuzwa hii
Kuna wazee kadhaa wa kimasai wamenitonya kuwa wametonywa kukaa mkao wa kula.
Kuna mikopo inaandaliwa kwa ajili yao.
Vigezo muhimu: umri, kadi ya NIDA na akaunti ya benki (nmb, NBC au crdb). Bado kuna ubishani juu ya kadi ya ccm.

Tayari kuna Mzee mmoja amepewa jukumu la hamasa.
 
Kuna wazee kadhaa wa kimasai wamenitonya kuwa wametonywa kukaa mkao wa kula.
Kuna mikopo inaandaliwa kwa ajili yao.
Vigezo muhimu: umri, kadi ya NIDA na akaunti ya benki (nmb, NBC au crdb). Bado kuna ubishani juu ya kadi ya ccm.

Tayari kuna Mzee mmoja amepewa jukumu la hamasa.
Hahahaha...labda wanataka kutumia style ya DPW ' ...hakuna mkate mgumu mbele ya chai.... aiseee mtafika mmechoka..
 

MBUNGE wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.

Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula.

Pia Soma:
-
Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa
Kwani yeye ndio aliwapiga?
Waandishi wamekua wasaka dili sana siku hizi. Wanatumika na fisadi wenye malengo kudhulumu haki ya wananchi wa kawaida hadi wanajikuta kulengwa kama adui.
 
Polisi ikiwa kama unavyotaka nchi itaharibika vibaya.
KUNA mtindo umeanza kuenea Tanzania wahalifu wanataka waogopwe baadhi ya watu wanapenda wawe juu ya sharia utasikia Mimi siogopi chochote! Sawa usiogope chochote lakini usivunje sheria za nchi.Polisi wamekuwa kikwazo kwa wahalifu na wahalifu wanapenda waheshimiwe na kunyenyekewa jambo ambalo halipo katika nchi yoyote Duniani.Haki yako inaishia pale unapoanza kuingilia haki ya wengine.
Hakuna polisi hapa .........hapa kuna vibaka...........washitakiwa wa kwanza ndio waheshimiwa........unakamataje raia wachovu
 
Hivi wanyama wa aina moja wanaweza kulana wao kwa wao
Hiyo iko Ccm pekee. Kikwete aliwahi sema hawa aminiani. Hata ukienda chooni huthubutu kumuachia mwenzako glass yako ya maji.
 
Sasa wabunge wana takiwa wajifunze kutoka kwa huyu mbunge mwenzao.
Kama polisi wana weza kumkamata mbunge na waka kaa nae siku tatu bila umma kujua mwakilishi wao yuko wapi. Je? Mwananchi wa kawaida asie jua kesho yake huwaje?
Huyu mbunge alikuwa na watu wengi sana wana mtafuta wakiwepo wana sheria lakini polisi wakatumia kiburi na jeuri bila kusema yuko wapi?
Je? Hiyo haki jinai walioenda kula nayo pilau pale ikulu na makofi mengi iki wapi?
Je sheria zina semje kuhusu ukamataji?. Bado Mh. Rais anakalia kimiya haya mambo? Kweli? IGP alikuwepo kwenye ripoti ya haki jinai na akaagizwa awaelimishe mapolisi wake. Je!! Hii ndiyo elimu aliyo kwenda kuwapa wasaidizi wake? Tumeona ukamataji wa aina hii kule Mbeya sasa Arusha, baadae itakuwa wapi? Ni Mungu anajua.
 
Back
Top Bottom