Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Kuna wazee kadhaa wa kimasai wamenitonya kuwa wametonywa kukaa mkao wa kula.Nchi imeuzwa hii
Hahahaha...labda wanataka kutumia style ya DPW ' ...hakuna mkate mgumu mbele ya chai.... aiseee mtafika mmechoka..Kuna wazee kadhaa wa kimasai wamenitonya kuwa wametonywa kukaa mkao wa kula.
Kuna mikopo inaandaliwa kwa ajili yao.
Vigezo muhimu: umri, kadi ya NIDA na akaunti ya benki (nmb, NBC au crdb). Bado kuna ubishani juu ya kadi ya ccm.
Tayari kuna Mzee mmoja amepewa jukumu la hamasa.
So hawa wenye mada ni wapya?
Kwani yeye ndio aliwapiga?
MBUNGE wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.
Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula.
Pia Soma:
- Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa
Hata mbwa mwitu ukijichanganya unakuwa mboga ya mbwa mwitu wenzako hahahHivi wanyama wa aina moja wanaweza kulana wao kwa wao
Nguruwe na Mbwa huwa wana tabia ya kula watoto wao.Hivi wanyama wa aina moja wanaweza kulana wao kwa wao
CCM ni mafisi
MBUNGE wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.
Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula.
Pia Soma:
- Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa
Hakuna polisi hapa .........hapa kuna vibaka...........washitakiwa wa kwanza ndio waheshimiwa........unakamataje raia wachovuPolisi ikiwa kama unavyotaka nchi itaharibika vibaya.
KUNA mtindo umeanza kuenea Tanzania wahalifu wanataka waogopwe baadhi ya watu wanapenda wawe juu ya sharia utasikia Mimi siogopi chochote! Sawa usiogope chochote lakini usivunje sheria za nchi.Polisi wamekuwa kikwazo kwa wahalifu na wahalifu wanapenda waheshimiwe na kunyenyekewa jambo ambalo halipo katika nchi yoyote Duniani.Haki yako inaishia pale unapoanza kuingilia haki ya wengine.
Nyoka huwa wanakulana.Hivi wanyama wa aina moja wanaweza kulana wao kwa wao
Watu wanaonewa sn huko vituoni, kama mbunge tena wa CCM anaweza kufanyiwa unyama kama huu, raia wa kawaida je?Ameachiwa baada ya wanasheria wake kufungua kesi kutaka apelekwe mahakamani
Hiyo iko Ccm pekee. Kikwete aliwahi sema hawa aminiani. Hata ukienda chooni huthubutu kumuachia mwenzako glass yako ya maji.Hivi wanyama wa aina moja wanaweza kulana wao kwa wao
Ccm inawezekanaHivi wanyama wa aina moja wanaweza kulana wao kwa wao
Wakishazoea kula nyama hawaachi
MBUNGE wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.
Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula.
Pia Soma:
- Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa
Tayari wameshaanzaLema alisema "mkitumaliza sisi .....
🤣Ccm inawezekana
🤣Hiyo iko Ccm pekee. Kikwete aliwahi sema hawa aminiani. Hata ukienda chooni huthubutu kumuachia mwenzako glass yako ya maji.