Elections 2010 MBUNGE WA SIKONGE na Upuuzi Wake

Elections 2010 MBUNGE WA SIKONGE na Upuuzi Wake

Pasco,

Kila mtu anafahamu kuwa Nkumba ni mweupe. Ila kwa sababu CCM mtaji wake ni Umasikini wa Watanzania na wao wanataka kwa hali na mali tubaki masikini, watahakikisha Nkumba anakuwa Mbunge wao milele ili aendeleze umasikini.

Nimechukizwa sana na kitendo cha kubeba watu kama Nkumba na kuacha mtu kama Kakunda. Kama mie siendi, basi nitahakikisha anapelekwa mtu makini kugombea kwenye vyama vyote incase CCM wamemtupa mmoja wao.

Nitahakikisha nakula Sahani moja na Slaa na kundi lake hadi Watembeze Operation Zinduka (Sangara) katika kila kata ya Sikonge. Mungu yupo kuna siku tutasema "Wanyamwezi We Are Back......" ili hawa Wasukuma wasitusute tena na hivyo vihela vyao wanavyopata kwenye migodi baada ya kuuwa wenzao wenye ugonjwa wa Ngozi (Albino). Wasukuma, heri nilime kibarua kuliko kuwa tajiri kwa kuuwa Albino.

Wengine tukiwaona tunawahurumia, nyie mkiona mnaona MTAJI. Ng'wanangwa, ona mtaji chini.

img-hp-main---kouri-albinos_165031946407.jpg


Sikonge na Gagnija, badhi ya waheshimiwa wetu ni weupe sana, hawana kitu kabisa. Mfano ni jinsi Mhe. Ole Sendeka alivyo anahaha na kisemeo utadhani alikuwa na serious burning issue, alipofanikiwa kupata mic aliishia kutoa utumbo tuu.
 
Sikonge,

Nikukumbushe tu kuwa mh Nkumba ni mwalimu daraja la 3 A. Kama angeendela na taaluma yake, pengine cheo cha juu ambacho leo hii angefikia ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi. Mbunge wa aina hiyo unategemea awe na upeo gani wa fikra?
Kwa upande mwingine, upo umuhimu wa mishahara ya wabunge wetu kuwa scaled kulingana na taaluma zao. Nkumba alipwe mshahara sawa na mwalimu wa daraja la 3 A, na anapokuwa kwenye vikao vya bunge Dodoma, posho yake ya kujikimu iwe sawa na ile anayopota mwalimu wa daraja lake kwenye manispaa. Ni wakati wa kusema hapana kwa huu uheshimiwa bandia!
MKuu

Kuwa mwalimu wa daraja la 3A sio conclusive wa uwezo wake mdogo wala kuwa na PHD sio kielelezo pekee cha uwelewa mkubwa wa maisha na jamii nzima.

Ukifuata vigezo vyako unaweza kupata maswali mengi zaidi

  • Chenge ni Havard Graduate Je the more mtu anavyoelimika ndio the more anavyotumia knowlege yake kuwa "mwizi stadi " ?
  • Standard seven anayefanya kosa la kuuua kwa kisu na Phd Holder anayetumia kalamu kuiba yupi ni bora au yupi ni worst.?
  • nadhani Baraza la mawaziri tanzania lina ma prof na ma dr wengi kuliko la UK na USA but mbona hatuoni translantion ya elimu zao kwenye tofauti ya maendeleo yanayofanyika?

Kuwa mbunge sio lazima ujue trigonometry au ujue kuderive hesabu za integration. Ubunge/ Uanasiasa ni about kujua society. Ni kuwa mkweli hata kwenye mambo ambayo jamii haitapenda kuyasikia.


Mimi nadhani tatizo sio mbunge tatizo ni Mfumo uliopo unaofanya mbunge kimaslahi awe juu ya

  • Afisa Elimu wa wilaya ya mkoa au wilaya
  • Afisa Kilimo mkuu wa wilaya au Mkoa
  • Mganga Mkuu wa Wilaya
  • Etc
 
Mkuu,

Ukitaka vita ya wenyewe kwa wenyewe, utaipata.

Ubora wenu ni nini hasa? Kufukuza wanawake na kuwawekea Mikono juu na kuimba Chagulaga Mwana Mayu?

Kucheza ngoma (mashindano ya ngoma) mwezi mzima huku Mkirogana .... "Chini ngongo chini ngongo......"

Kuuwa Albino ili mpate Utajiri ambao leo mnaanza kujiona eti nyie ni wa Maana sana?

Mwisho wa siku, haya mambo yanaishia kuwa Individuals. Sasa kwa hilo, una uhakika sana kuwa Umempita Kichuguu Kimaisha? Una uhakika kuwa umemzidi Rupia kimaisha? Una uhakika umempita Kapuya kimaisha?

Hii inanikumbusha Story ya Mjamaica mmoja huko Russia ambaye alianza kutamba kuwa wao ingawa ni weusi na wametoka kweli Africa, wako juu zaidi ya sisi Waafrca. Alijibiwa na jamaa mmoja mwenye kigugumizi"
" Ja Ja Jamaican, do you know who are you? You are just REJECTED SLAVES......"

Kumbuka si zamani sana, nyie wote mlikuwa mko chini ya Himaya ya Mtemi Mirambo (Milambo). Walugaluga walikutandikeni na wala hatukusikia mkisema kitu. Kama siyo Wajeruman kuja na kumshambulia Isike, mngelikuwa chini ya Himaya yetu hadi leo. Na wakati huo, mlipigana bega kwa bega na Mirambo, bila ya kujifanya eti nyie Wasukuma na sisi ni Wadakama.

Hata Nyerere alipoanza kutawala, upinzani mkubwa sana alipata kutoka kwa Wanyamwezi na nyie siku hizo mlikuwa mko kwenye NEPI. Ni watu kama Mtemi Lugusha, Kasanga Tumbo, Chief Fundikira na wengine walianza kumpa kashkash Nyerere na kama angelichelewa, leo hii ni Wadakama wangelikuwa wakitawala hii nchi na nyie mngelianza kujikomba kuwa "na sisi ni Wanyamwezi".

Nyerere kwa kutukomoa, ndiyo akaanza kushikilia mkoa wa Tabora ili ubaki palepale miaka nenda miaka rudi. Ila kidogokidogo watu wameanza kurudi Nyumbani. Wazee kwa vijana wanaanza kurudi makwao na kujenga. Taratibu tutaanza kuchangamka na kuja kwa speed ya ajabu. Mnaweza kuwa na hizo dhahabu na Almasi zenu ila nina imani Tabora itakuja kuwa Japan ya Tanzania.

Kwa Zanzibar: Kila mtu wa Bara anaitwa Mnyamwezi. Huko ni sawa ni miziki ya Congo, sisi Tanzania tunaita Bolingo wakati bolingo kwa kilingala ni MAPENZI. kwa hiyo, ukiwa Zenji, kuna makabila matatu tu kutoka bara yaani Wanyamwezi, Wamasaai na Makonde. Wengine kama Wasukuma hata hampo. Sijui kama hiyo ni sifa.

Veve Nkwingwa, ulu ukova Mihayo, letaga du. Ulu Wapandula, enhe nkuponta.

Hii Video hapa chini, inaonyesha Mwamko na Maendeleo yenu Wasukuka. Msikilize Shangazi yako anavyozoza Kisukuma na kweli ninakubali kuwa Mmeendelea sana. Hongereni.....



Hujajibu hoja.

Ninakumbuka enzi za ukoloni Wanyamwezi zaidi ya 400 walikuwa wakifungwa minyororo na Waarabu wawili wenye gobole na kusafirishwa hadi Zanzibar kufanyishwa vibarua na kuslimishwa.

Wanyamwezi ni watumwa tu.

Hata huko Zanzibar ndiyo watu wanaofanya kazi ya kuangua nazi.

Kibada munafanya kazi ya kuchoma mkaa na kuuza maembe.

Munapenda raha bila kufanya kazi.

Munasubiri CCM wawaletee fulana na kofia kila baada ya miaka mitano.

Hamna lolote. Aibu yenu.
 
Last edited by a moderator:
Mami,

Angalia hata film ya David Livingstone, anasema wazi kabisa kuwa Waarabu, Wazungu wote walikuwa wakifika Tabora, walikuwa wakilipa kodi ili kupita pale. Walikuwa wakimuogopa sana maana aliwatandika kishenzi.

Kama hufahamu Historia, basi siyo kosa langu. Kale Panki moja na ulale salama.

Eti Chakula Cha Kabila Bora Tanzania lisilolima Vibarua............

y1pwfnL8dJmng4iZoaOCaUYbAmi09JG2ykmLf6DV7UTqRQRj7Ct-VGTObW_J8ks4xDeC6_b9IP3BGhSFl5j3DcfBQ

Hujajibu hoja.

Ninakumbuka enzi za ukoloni Wanyamwezi zaidi ya 400 walikuwa wakifungwa minyororo na Waarabu wawili wenye gobole na kusafirishwa hadi Zanzibar kufanyishwa vibarua na kuslimishwa.

Wanyamwezi ni watumwa tu.

Hata huko Zanzibar ndiyo watu wanaofanya kazi ya kuangua nazi.

Kibada munafanya kazi ya kuchoma mkaa na kuuza maembe.

Munapenda raha bila kufanya kazi.

Munasubiri CCM wawaletee fulana na kofia kila baada ya miaka mitano.

Hamna lolote. Aibu yenu.
 
Tunaposema wasukuma(sisi) ni tofauti na wanyamwezi inabidi sasa mutuelewe.

Hawa watu wanajua mambo matatu tu:

  1. Kulima vibarua kwenye mashamba ya watu
  2. Kunywa matapu-tapu
  3. Kufanya umalaya

Hivi hizi sifa mbona kama ziko na kwenye makabila mengine!
 
Halafu huyu anaitwa eti na yeye Mpiganaji. Ndiyo hawa wanauguwa na wanaishia kutelekezwa na CCM kwenye vitanda vyao na kuanza kulia wapelekwe India kwa Matibabu.

Nkumba, unatuangusha bana. Si lazima useme na wakati mwingine ni heri ukae kimya. I believe you can do better than those Mipasho. Wewe Mtu wa Sikonge na Taarabu wapi na wapi?
Nkumba mimi bianfsi nimemsikia akichangia hoja kama mtoto mdogo! sijajua darasa lake limekaaje!

Huwa anakwenda na kurudi yaani ni ***** kinoma
 
Jamaa wakikusikia wanaweza kukuroga
Sikonge,

Nikukumbushe tu kuwa mh Nkumba ni mwalimu daraja la 3 A. Kama angeendela na taaluma yake, pengine cheo cha juu ambacho leo hii angefikia ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi. Mbunge wa aina hiyo unategemea awe na upeo gani wa fikra?
Kwa upande mwingine, upo umuhimu wa mishahara ya wabunge wetu kuwa scaled kulingana na taaluma zao. Nkumba alipwe mshahara sawa na mwalimu wa daraja la 3 A, na anapokuwa kwenye vikao vya bunge Dodoma, posho yake ya kujikimu iwe sawa na ile anayopota mwalimu wa daraja lake kwenye manispaa. Ni wakati wa kusema hapana kwa huu uheshimiwa bandia!
 
Tunaposema wasukuma(sisi) ni tofauti na wanyamwezi inabidi sasa mutuelewe.

Hawa watu wanajua mambo matatu tu:

  1. Kulima vibarua kwenye mashamba ya watu
  2. Kunywa matapu-tapu
  3. Kufanya umalaya
Taratibu Mkuu maana hizo tuhuma ni NZITO kweli kweli hasa ile ya namba 3
 
Halafu huyu anaitwa eti na yeye Mpiganaji. Ndiyo hawa wanauguwa na wanaishia kutelekezwa na CCM kwenye vitanda vyao na kuanza kulia wapelekwe India kwa Matibabu.

Nkumba, unatuangusha bana. Si lazima useme na wakati mwingine ni heri ukae kimya. I believe you can do better than those Mipasho. Wewe Mtu wa Sikonge na Taarabu wapi na wapi?

Najua busara haipatikani shuleni!!lakini huyu jamaa elimu yake ni duni,hivyo ni vema kumchukulia kama alivyo,badala ya kumlaumu!!
 
Nakubaliana na wewe mkuu! na mimi binafsi haki ya mungu naona kuna umuhimi mkubwa sana wa kubadirisha katiba! this is getting worse! yaani mbunge kula 12m a month halafu hasaidii kabisa jamii, hivyo wangefuata ile mid term elections ambayo either ifanywe na wabunge wenzao au wananchi wachache wa majimboni kwao kila half way before the end of the term. Let say after 2.5 years ili ku assess their performance na hii itapelekea uwajibikaji. Maana wengi wakishapata kura basi wanabweteka wakijua kuwa there nothing we can do to them till 5 years of service and they are guaranteed to serve those 5 years. Mmmh!

LoyalTzCitizen
Hili ni moja ya mambo yanayotakiwa kupendekezwa katika kuboresha uwajibikaji wa hawa wabunge wetu! na kabisa huu mshahara ni mkubwa sana, unatakiwa kabisa kupunguzwa , ni lazima walipwe kwa kuwianisha na hali ya maisha ya wanaowaongoza, mshahara wao wa sasa husababisha wajione hawako duniani, ndo maana hawarudi kabisa majimboni na pia kusababisha watu wapuuzi kukimbilia huko kwa ajili ya mshahara huu.

hivi ni Watanzania wangapi katika maisha yao watakuja kufikia mshahara huu, kwa kazi gani ya hawa wabunge... kulala bungeni, kula nyama na kufanya umalaya kama asilimia kubwa kati yao wanavyofanya? :A S angry::A S angry::A S angry:
 
Mami,

Angalia hata film ya David Livingstone, anasema wazi kabisa kuwa Waarabu, Wazungu wote walikuwa wakifika Tabora, walikuwa wakilipa kodi ili kupita pale. Walikuwa wakimuogopa sana maana aliwatandika kishenzi.

Kama hufahamu Historia, basi siyo kosa langu. Kale Panki moja na ulale salama.

Eti Chakula Cha Kabila Bora Tanzania lisilolima Vibarua............

y1pwfnL8dJmng4iZoaOCaUYbAmi09JG2ykmLf6DV7UTqRQRj7Ct-VGTObW_J8ks4xDeC6_b9IP3BGhSFl5j3DcfBQ

Kama unayadharau mapanki na kuipenda CCM na serikali yake, basi hilo linatosha kuonesha tofauti iliyopo kati ya msukuma na mnyamwezi. Na zaidi ni kuwa kazi ya kuparura mapanki inafanywa na vibarua wa Kinyamwezi

Ni kwa kula mapanki hayo hayo tumefika mahali tukasema, basi acha tujitawale. Tujiundie halmashauri zetu sisi wenyewe.

Tuone kama hao wazungu watapata tena mtu wa kuwafadhili kufanya biashara haramu kwenye ardhi yetu.

Wewe ambaye wazungu walikuwa wanapita kwako na kulipa kodi unatajwa kuwa umezaliwa katika moja ya mikoa masikini kupindukia ya Tanzania.

Kodi ni maendeleo, mbona hakuna maendeleo Tabora??
 
Taratibu Mkuu maana hizo tuhuma ni NZITO kweli kweli hasa ile ya namba 3

Ukitaka ushahidi wa hilo la mamba 3 nenda Kibada katembelee klabu za pombe ya mnazi. Utaamini kuwa Wanyamwezi ni moja ya sababu za umasikini wa Tanzania.

Wanashinda wakichoma mkaa na kulima, jioni wanalewa na kufanya ngono zembe na kutawanya virusi vya ukimwi.
 
Hehehe I am in love with this sukuma vs Nyamwezi beef but all in all Wanyamwezi wako juu...

Labda kama una maanisha Wanyamwezi kwa maana ya Wamarekani.

Lakini hawa wala mlenda, duh!!
 
Usibishane na Mpumbavu............ Huu mjadala inabidi mmoja wetu awe na busara zaidi na kusema STOP.

Ngoja basi niwe mie maana imesemwa, Usibishane na Mpumbavu..............................

Miaka miwili iliyopita wakati naanza kampeni ya Dr. SLAA FOR PRESIDENT, wewe hata JF ulikuwa hujaingia.

Ukweli ni kuwa Mirambo alikutandikeni hadi Mkawa Walugaluga wake.

Between 1876 and 1881 he undertook missions to make alliances with neighbouring rulers and led expeditions to Burundi, the Vinza and Tongwe in the West, the Pimbwe and Konongo in the South, the Nyaturu, Iramba and Sukuma in eastern Tanzania, and to Kabaka Mutesa of Uganda.
Using Ngoni mercenaries - the 'ruga-ruga' - his rule extended from the Northwest Buganda border to Lake Tanganyika and covered the area south of Tabora down to Uvinza.

Msiri%27s_kingdom_in_1880.PNG


KWa sababu wewe ni Kihiyo, soma hapa: Mirambo (ca.1840--1884) | The Black Past: Remembered and Reclaimed

NOYAGA................ Ahhh, leo mchana umepata Panki tena nini Mkuu?

Kama unayadharau mapanki na kuipenda CCM na serikali yake, basi hilo linatosha kuonesha tofauti iliyopo kati ya msukuma na mnyamwezi. Na zaidi ni kuwa kazi ya kuparura mapanki inafanywa na vibarua wa Kinyamwezi

Ni kwa kula mapanki hayo hayo tumefika mahali tukasema, basi acha tujitawale. Tujiundie halmashauri zetu sisi wenyewe.

Tuone kama hao wazungu watapata tena mtu wa kuwafadhili kufanya biashara haramu kwenye ardhi yetu.

Wewe ambaye wazungu walikuwa wanapita kwako na kulipa kodi unatajwa kuwa umezaliwa katika moja ya mikoa masikini kupindukia ya Tanzania.

Kodi ni maendeleo, mbona hakuna maendeleo Tabora??
 
Huyu ndiye Mwanaume aliyewapa Kichapo Wasukuma kwa kutumia Askari wa kukodiwa wa kabila la Wangoni. Ingawa naweza kusema kuwa hakuwapa kichapo maana walimpisha Mwanaume wa kweli na yeye akaingia bila Mikwaruzo........... Kama ndani ya Kichuguu cha Mzee Kichuguu wa JF wanamoishi Nguchiro na Mchwa.

Enzi hizo, wala watu hawakufahamu kukodisha askari wa kulipwa.................

bu1214h6.jpg
Mirambo_ca__1885.jpg


YES, MTEMI MIRAMBO au MILAMBO (Maiti) na jina hasa ni Mtyela Kasanda.
 
Hivi hizi sifa mbona kama ziko na kwenye makabila mengine!

nakumbuka kule kwetu vibarua wa mashambani wengi walikuwa Wapangwa, sasa tukawa tumeshazoea kila mtu akija kutafuta kibarua cha kulima tulikuwa tunamwita Mpangwa, hata kama siyo mpangwa
 
wote waliouliza maswali kwa mgombea wa chadema walikuwa wababaishaji tukianza na kibakwe mp ndugu simbachawene anajifanya mwanasheria by profession while i think intentions of legislature is the core issue in interpreting any laws and due to that fact i m bound to believe that legislatures must be the first interpreter of the laws made by themselves simbachawene i m doubt digrii yake ya sheria alisomea wapi kwani ana mawazo mgando kuwa interpretations of laws inafanywa na mahakama pekee kwa uzuzu huo ndio maana tutaendelea kuwa na mikataba na sheria mibovu nchini shame on you kibakwe mp for pretending to be a lawyer while you are not mkumbo na sendeka waliongozwa na viherehere kuuliza maswali hawakuwa na hoja ya msingi katika kuuliza maswali yao na nafikiri ni umbumbumbu wao katika maswala ya bunge na kazi ya bunge kwa ujumla katika kuuliza maswali yao!
 
Back
Top Bottom