Tetesi: Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa

Tetesi: Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa

Amerudi kwao maaana kamwe samaki hawezi kusahau asili
Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.

=======
Mbunge wa Simanjiro (Chadema), James Ole Millya amejiuzulu nafasi ya Ubunge na kujivua uanachama, amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
 
Halafu wapiga kura wasiojitambua na kuthamini utu wao atarudi tena kutaka wampe kura nao watampa.
Wanaojitambua na kuthamini Utu wao ni wale baada ya kumtukana Mzee Lowassa majukwaani na mitaani wakameza matapishi yao na kumpa Kura za Urais!?
 
Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.

=======
Mbunge wa Simanjiro (Chadema), James Ole Millya amejiuzulu nafasi ya Ubunge na kujivua uanachama, amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Yametimia !!
 
Who is doing nonsense here? ccm au upinzani

disgusting

sasa chadema nani ambaye hatanunuliwa??
Punguza kukurupuka! Sijataja Chama, ila lazima pafanyike kitu, wanaoumia Ni Wananchi, sii upinzani Wala CCM, wake up you idiot! Lazima ifike mahali tukasimama juu ya Maslahi ya Taifa, vyama vyenu kanyweeni chimpumu huko kwenu!
 
Mkuu mlijuaje hili hebu tudadavulie kidogo na pia hebu tuambie nani na nani wanakaribia kuingia sokoni
Kuna taarifa huwezi kuweka humu angalia post niliandika tarehe ngapi leo tayari
 
Wanaojitambua na kuthamini Utu wao ni wale baada ya kumtukana Mzee Lowassa majukwaani na mitaani wakameza matapishi yao na kumpa Kura za Urais!?
Ni vitu viwili tofauti. Lowassa alichaguliwa kuwa nani na alijiuzulu na kurudi kugombea nafasi nafasi gani?
 
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.

Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!

Wabongo mtasubiri sana!!
Lakini Hii Dhambi Inawamaliza Sana, Mbowe Ndio Alianza Kukiuza Chama Kwa Lowasa, Sasa Ngoja Mnunuliwe Tu.
 
Ni vitu viwili tofauti. Lowassa alichaguliwa kuwa nani na alijiuzulu na kurudi kugombea nafasi nafasi gani?
Utofauti wake ni nini!? Wapiga Kura wanatoka Namibia au!?
Acheni kuhadaa Watanzania mkuu!
 
1.5 aliyoisema CAG haionekani, KAZINI. Mwisho wa yote ni AIBU. Tusubiri tu
 
Rudi nyumbani.....kumenoga.
Kuna nogeshwa na Biashara ya Bin-adam?, biashara aliyoisema J.K. Nyerere alipowahutubia vijana toka moshi (ya Kuuza mwili na akili)?,
Endeleeni na hizo biashara huku mkijidanganya MNAPENDWA na mnakuza uzalendo....!,kwa Malipo ama ya taslim au ahadi etc...., Mnachokipanda mtakivuna na mkipokee Wapanda UDHALIMU huvuna UDHALIMU.
 
Wangemwapisha fasta kama Mbunge mpya wa CCM jimbo la Simanjiro then hizo gharama za kurudia uchaguzi zikafanye maendeleo hapo Simanjiro. Wilaya ambayo haina hospitali ya wilaya, Wilaya ambayo 90% ya eneo lake halina lami, wilaya ambayo kuna changamoto za maji safi na salama, wilaya ambayo bado sehemu kubwa ya kata zake hazina umeme, wilaya ambayo ofisi za halmashauri hazina hadhi
 
Kwahiyo walimchagua Lowassa kuwa rais halafu zikabadilishwa kuwa za jiwe?!
Acha kukengeuka kamanda!
Jifunzeni kuweka akiba ya maneno. Leo hii Jakobo wa Ubungo anaweka wapi kitambi chake!?
 
Back
Top Bottom