Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Watanzania wanajua wananunuliwa hao.kifo cha upinzani ni janga kwa watanzania wote. ndio maana yule mzee wa mwitongo alikubali kura 20% zishinde dhidi ya 80% kwa sababu maendeleo chanya yanaletwa nguvu mbili zinazokizana.
''AKITUMALIZA SISI ATAANZA NA NYIE'' TUNDU LISU
Hata mataifa yanayotupa misaada ya fedha mimi nimeanza kuwadharau.Magu anawaangalia na usaliti wao
Atawanyonyoa na kuwanyonyoa hapo mbele hawatoamini
Chama hicho ni mali ya yule aliyemlipa Mwenyekiti wenu Bilioni 12 sasa lazima mpewe masharti na asiyekubali lazima aondoke fasterMuwachukue wote tuanze upya kujenga chama
Tangu Mbowe auze chama kwa CCM 2015, kila mtu CHADEMA ananunulika tu!Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Sawa Haina Tatizo,Tunasubiri.Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.
=======
Wanunueni tu maana imebaki miezi 13 tu ya hiyo biashara kufungwa rasmi,ikishafika miezi 12 kabla ya uchaguzi mwingine hakuna kuhama,kwahiyo endeleeni na ununuzi.Tangu Mbowe auze chama kwa CCM 2015, kila mtu CHADEMA ananunulika tu!
wanachama wengi wameanza kujitambua.
Nikweli. .Hata mataifa yanayotupa misaada ya fedha mimi nimeanza kuwadharau.