Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slave tradeMbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.
=======
Nakuonea huruma!Hiyo kodi inayopotea wewe haikuhusu?
Eti Tanzania ya viwanda!!!!
wewe unafaidika na kitu gani kama siyo uzwazwa?Baada ya kuhamia CCM utasikia majibu ya upande wa pili kuwa 'hata hivyo tulikuwa mbioni kumsimamisha na kumfukuza kabisa uanachama kwa tuhuma kadha wa kadha'.
Wewe mbona unajiuza na watu hatusemi?Pole sana mkuu mpaka mwenyekiti pia yumo kwenye mapatano ya bei!
Umesema ukweli mkuu anayejisikia kufuata maisha ya mtelezo aende huko ccm maana kuutafuta ukombozi ni kazi ngumu inayohitaji moyoHuyu nilishamhisi na kumtaja siku nyingi. Washauri wa UKUTA wa Mererani. Aende zake, alisaidiwa alivyozidiwa na Ole Sendeka, sasa ameshiba! Kila la kheri kama anayo huo mpango tunaouhisi kwa matendo yake. Kama hana, utasamehe bure maana wenzake wametukera sana
Ili mradi watuwachie cdm yetu maana hata siku tunaianzisha hatukuwa na mbunge wala diwani na tutapambana kuwapata wabunge wenginemungu awabariki wote wanaenda ccm ipo siku!!
Nikawaida ya chumia tumbo kuangalia nini anapata badala ya kuangalia maslahi ya taifaHiyo kodi inayopotea wewe haikuhusu?
Eti Tanzania ya viwanda!!!!
Ina maana baada ya kushindwa kumshawishi aje kwenu ndio maana mkamtafutia wasiyo julikana hadi sasa wamuondoe dunuani?hadi raha, hao wapinzani inabidi waitishe semina na vikao vya kufundana make bika hivyo yale mabenchi ya upinzani pale bungeni atabaki tu Tundulissu.
Mungu ambariki Tundu Lissu arudi nchini ili aone utabiri wakekifo cha upinzani ni janga kwa watanzania wote. ndio maana yule mzee wa mwitongo alikubali kura 20% zishinde dhidi ya 80% kwa sababu maendeleo chanya yanaletwa nguvu mbili zinazokizana.
''AKITUMALIZA SISI ATAANZA NA NYIE'' TUNDU LISU
Swali zuri sanaHivi anahamia au anarudi?
Hapana wala hawatoagi hizo sababu. Siku hizi wanamwombea HERI huko aendapp basi. Kama ujuavyo mwenye kushika mpini hakosi kukukata.Baada ya kuhamia CCM utasikia majibu ya upande wa pili kuwa 'hata hivyo tulikuwa mbioni kumsimamisha na kumfukuza kabisa uanachama kwa tuhuma kadha wa kadha'.
PumbaffffffffChama hicho ni mali ya yule aliyemlipa Mwenyekiti wenu Bilioni 12 sasa lazima mpewe masharti na asiyekubali lazima aondoke faster
Tangu alipo kuzalisha na kukutelekeza ndio imekuwa chuki mtindo mmoja?Swali la wapi ruzuku ya chama inaenda limekuwa gumu sana kwa mbowe .
Yupo tayari atumie mwezi mzima kuwaelezea bavicha namna ccm inavyonunua watu badala ya kutumia dakika moja kueleza kwa nini ruzuku ya chama haifiki wilayani.