Tetesi: Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa

Tetesi: Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa

Binafs siipend hii tabia ya kuchezea pesa za walipa Kodi lkn Cdm mjitafakar kuna nn nyuma take n kununuliwa au kunajmbo jingine!?
 
Kodi yote itaishia kwenye marudio.
Haiwezi kutosha
Maisha yatazidi kuwa magumu.
 
Hilo ni funzo,msiaapokee watu kabla ya kuwachuja hasa wanaotoka ccm
 
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.

Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!

Wabongo mtasubiri sana!!
Mbona mbowe kafanya biashara na lowassa hatukuona mapovu
kama sie tumenunua,na nyie si mununue~Uhuru kenyatta
 
Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.

=======
Hana ushawishi wowote kihivyo.Hata Lema mwenyewe mwisho wake ni Arusha
 
Baada ya kuhamia CCM utasikia majibu ya upande wa pili kuwa 'hata hivyo tulikuwa mbioni kumsimamisha na kumfukuza kabisa uanachama kwa tuhuma kadha wa kadha'.
Au eti hata wakiondoka wote chama hakitatetereka. Duh.
 
Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.

=======
Karibu nyumbani Ole Millya. Heko CCm, heko JPM.
 
Hilo ni funzo,msiaapokee watu kabla ya kuwachuja hasa wanaotoka ccm
Umeongea hoja nzuri.
Tatizo ni kutopokea ushauri.
Dr. Slaa aliuliza kama hawa watu ni asset au liability.

Kabla hajajibiwa kastukia washapewa nafasi za ugombea kuwakilisha chama kwenye uchaguzi mkuu.
 
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.

Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!

Wabongo mtasubiri sana!!


Kamati kuu ya Chadema iliyopitisha majina ya Wagombea Ubunge Na udiwani 2015 inapaswa kujiuzulu?

Kwanini walietua watu wanaonunulika Kama peremende Na kuwaacha Makamanda wasionunilika Kama Hawa wa JF?
 
kifo cha upinzani ni janga kwa watanzania wote. ndio maana yule mzee wa mwitongo alikubali kura 20% zishinde dhidi ya 80% kwa sababu maendeleo chanya yanaletwa nguvu mbili zinazokizana.
''AKITUMALIZA SISI ATAANZA NA NYIE'' TUNDU LISU

Lowassa ni asset Au liability?

Kama hamna jibu Bodi ya Uhasibu Na Wahasibu watupe jibu
 
Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.

=======
CHADEMA wanastahili hilo PIGO maana waliwatoza wafiwa chama waliokijenga chama na kuwakumbatia walioikimbia CCM kwa wakati ule ingala hata itikadi ya CHADEMA hao wakuja walikuwa hawaifahamu. Sasa waliooneka mtaji wanaondosha uwekezaji wao
 
Upinzan wenye mizania ndio afya kwa nchi yenye demokrasia lkn upinzan ukifa hakika tutakimbia hapa! Tusifurahie sana kufa kwa upinzan Tanzania
 
Upinzan wenye mizania ndio afya kwa nchi yenye demokrasia lkn upinzan ukifa hakika tutakimbia hapa! Tusifurahie sana kufa kwa upinzan Tanzania
Upinzani wa kuabudu wazungu ,kupinga maendeleo na kutukana viongozi wetu bora ufe tu.
 
Ole Milya na yule Mbunge wa Monduli ni vijana wa Lowasa, wote kuondoka ndani ya muda wa wiki moja ni meseji tosha nini kinafuata kuhusu Lowasa. CDM walifanya kosa kubwa sana 2015 kumpa Lowasa kijiti mbaya zaidi ni kama wamechanganyikiwa hawana akili wala uwezo wa kuonyesha nini cha kufanya.

Magu amedhamiria kuidondosha CDM, na kweli inaenda kudondoka, wote ambao walikuwa wana akili au uwezo wa kuisaidia CDM walishafukuzwa au kuwekwa pembeni. Mnyika na kina Prof Baregu ni wazi wamemsusia Mbowe azame na “jahazi” lake. Nimeikumbuka ile cream ya CDM ikiongozwa na Dr Slaa, Zitto na Mnyika. Nyuma ya pazia kukiwa na wana mikakati kama Prof Baregu na Prof Mkumbo. Hii ndio cream iliyoipaisha CDM, Wote hao hawapo CDM saivi au wameamua kuwa viongozi wafu, CDM jahazi linazama.

Mwisho na muhimu, nyumbxxx wa CDM watambue kinachouliwa ni CDM na sio upinzani, ilikufa NCCR ikija CUF, ikafa CUF ikaja CDM, na sasa CDM tayari ina kiharusi 2020 tunaizika, wazee wa fursa ni muda wa kujiongeza tu huu.
 
Upinzan wenye mizania ndio afya kwa nchi yenye demokrasia lkn upinzan ukifa hakika tutakimbia hapa! Tusifurahie sana kufa kwa upinzan Tanzania
Kinachokufa si upinzani bali CDM ndio inayokufa, kama ilivyokufa NCCR ikaja CUF, CUF ikafa pia ikaja CDM na sasa CDM pia ndio inaondoka hivi.....
 
Back
Top Bottom