Angekua team BBI Wala hio kesi haingekua na unalifahamu hilo amehukumiwa maana anapinga,hapo ni siasa Anza na NYS 1 na NYS 2 uje kwa aror and kimwarer Nani ameshitakiwa hata mmoja Ile skandol ya mahindi ambayo imekua juzi Nani ameshitakiwa, naivasha Depot land mke wa rais ametajwa ,afya house Dada wa rais alitajwa Wala hizo kesi hutowahi kusikiza kwani hii corruption inawanasa wengine na wengine wanawachwa?.
Sent from my CPH1937 using
JamiiForums mobile app