Posho
No, mimi sikujifukiza, kwa sisi watu wa mwendo wa Joni Mtembezi, Corona atapitia wapi?.Umeshajifukiza ??
Na Morogoro utasemaje?Wasukuma tuna tia aibu sana nahisi ndo kanda inayoongoza kwa kua na wabunge wengi waarabu,wahindi sijui why hatuwaamini watoto wetu
No, mimi sikujifukiza, kwa sisi watu wa mwendo wa Joni Mtembezi, Corona atapitia wapi?.
P
Kwahiyo wanajifukiza huku wamesimama? Mfano unapikia jiko la kuni unajifukiza vipi huku mjungu upo katika mafiga? Vitu vingine vinastajabisha sanaSomo la kujifukiza ni muhimu sana. Wengi wanajifukiza dawa zikiwa motoni zinachemka. Hii yaweza sababisha kuathirika kwa mapafu. Bado tutasikia vifo vikitokea kwenye fukizo kutokana na hewa ya ukaa. Elimu ya dhati itolewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka km mwehu lolNi dakika ya ishirini ya mchezo hali ni tete. Corona amechoka na kocha anaamua kufanya mabadiliko ya kumtoa na nafasi yake inachukuliwa na "MATATIZO YA UPUMUAJI". Kwako Mwalimu KASHASHA.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππHuko Sumve wajumbe waliamuaje?