Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amjibu Spika Ndugai kuhusu kurudisha Posho

Huyu bi mdashi Yuko vizuri na majibu yake yameeleweka, kumbe bado Yuko kwenye kituo Chake Cha kazi kwa Sasa.
Kituo cha kazi sio.mji alipo.MTU no ofisi.Kituo cha kazi wakati wote ni ofisini

Kituo cha kazi cha wabunge ni bungeni sio.mitaani.Iwe Dar au Dodoma.

Tafsiri ya Kituo cha kazi no ofisini sio nyamachoma au hotelini

Matiko kalamba milioni 110 kajifungia anazila peke yake tatatibuuu kajilock down kabisa asiombwe hela aisee ubunge mzuri ndio.masana katakata hasa milioni 110 sio.mzigo mdogo ndio.maana hadi akina sugu unakuta wanazidi kuwa wafupi tu ila wanafutuka hasa mpaka nashanga sugu mbona anazidi kuwa mfupi lakini anafutuka unene Huyo.hadi masikio kumbe kuna mzigo Wa Milioni 110 umeingia
 
Hakuna fani inayolipa kama ubunge katika nchi hii, yaani ukiwa mbunge kwa mm miaka mitano wewe ni moja wa watu wenye hali nzuri sana bongo. Ndio maana engineers, doctors, lawyers nk wameamua kuachana na fani zao wapo bungeni wakililia posho zao.

Ukitaka wabunge washikamane, ingilia maslahi yao, hapo utaona CCM na CDM kumbe ni chama kimoja.
 
Mkuu wabunge ndo wanaongoza kulipwa vizuri sana, hivi kweli kazi Moja MTU analipwa Mara 2 nni maana yake?
Ndiyo hivyo, watu wanatoboana macho kwenye kura za maoni huwa unafikiri ni nini Mkuu!!
jamaa wanakula

mzigo mkubwa sana huku wafanyakazi wengine wapo hali mbaya
Aisee nimeelewa kwa nini kila mtu anapambana awe mbunge awe ccm au upinzani. Inabidi wapunguziwe mishahara na posho.
 
Matiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza

Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Lakini mkuu huoni logic hapo?
Kama matiko anadai siku mbili kabla Ndasa kufa,alikuwa nae karibu,huoni logic Happ kwamba Ni vizuri aji isolate?.
Hata Kama Ni siasa ,this is too much bana,ushabiki wako umevuka mipaka,hata Kama unalipwa,ujue Basi na jinsi ya kukampeinia chama,maana unatutia aibu bana,,ccm hakunaga roho za kiikatili hivi,
Au haukupitia kivukoni front ukapikwa kisiasa,?
Ushabiki wako hauko kistrategy na huwezi kushawishi mtu yeyote maana Ni ushabiki uliojaa kiburi,majigambo na umbumbumbu
 
Reactions: Pep
Aisee nimeelewa kwa nini kila mtu anapambana awe mbunge awe ccm au upinzani. Inabidi wapunguziwe mishahara na posho.
true say man kwa huo mzigo lazima ujipendekeze mzigo mkubwa sana this world aint fair
 
nimegundua hakuna mwanasiasa mwenye uchungu na nchi wote ni maslahi tuu wacha wavuane nguo kwanzza ela zenyewe hatuzioni
 
Nimekuelewa sana mkuu. Huu ni ukweli.
 
Haya nenda Ufipa kuna nyumbu wengi km Wewe watakushughulikia
Hivi vijitu vingine sijui vimetokea wapi,kujifanya much know for nothing,,hakuna kitu vinajua kuhusu chama,vinaharibu taswira ya chama ,na havijali as long as kinaingiza buku saba
 
Reactions: Pep
Matiko tulimtoa pale UDSM kitengo cha Political Science and Sociology akiwa binti mdogo tena akiwa lecturer msaidizi. Tumemkuza kisiasa na kiimani. Nyie vilumumba uchwara mnakuzwa katika kuabudu na kutumikia tumbo. Wapumbavu wakubwa!
Toa boriti jichoni kwako kwanza
 
duuuuh kumbe wabunge wa upinzani wanazurumiwa pesa zao wanapohudhuria mahakamani? kwani pesa ambazo hawalipwi huwa zinaenda wapi? CAG amewahi kuzikagua?
 
Reactions: Pep
Chagua moja Mkuu aidha nilete mahari nikuoe au uende ukaolewe ufipa kuna nyumbu Wengi
Ha ha,hivi bia yetu una umri gani?,maana nisije kuwa naongea na mtoto wa miaka 17,form four failure,mtoto wa katibu kata aliepewa deal la kulipwa buku 7 kuropoka ropojka mitandaoni,
Nimekuwa nikisoma post zako nabaki kukuna kichwa tu,maana hujawahigi kuongea kitu Cha maana kikaeleweka yaani,
Kiufupi hauna qualification ya kukitetea chama chetu kitukufu,,haufai
 
Reactions: Pep
Hahaha Mkuu nipo tayari kukuoa, nipe location
 
Kumbe kuna pesa ndefu hv nje ya mshahara tukutane mjengoni #2030

Its not over until its over...[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…