Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amjibu Spika Ndugai kuhusu kurudisha Posho

Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amjibu Spika Ndugai kuhusu kurudisha Posho

Hahaha hebu tuambie hapo Ufipa Ndio tabia yenu ya kugeuzana? Hii ni laana Sasa Ndio maana chama kinajifia Hicho Mkuu
Main point yangu Ni kuwa,wewe hufai kuitetea serikali Wala chama,hujui Nini uongee,unaropoka tu Kama zuzu,kufanya siasa kunahitaji akili,mnakitia aibu chama
 
Mimi nitakufanyia flashback mtu km Wewe unaogeuza Nyumbu wenzio wa ufipa[emoji3]

Wewe ni Chadema usiikane sacos ya dj au umeishiwa kupewa gwanda tu[emoji3]
Chadema..hebu Soma history Kisha Rudi hapa uniite mi chadema,at least piga flushback Hadi 2015 uone tulivyokua tukikampenia chama kwa akili,
Sio nyinyi mnafanya miropoko na siyo siasa
 
Kwahiyo Wewe unapowageuza nyumbu wa ufipa na kuwafanyia mchezo mbaya hukitii aibu chama ?
Main point yangu Ni kuwa,wewe hufai kuitetea serikali Wala chama,hujui Nini uongee,unaropoka tu Kama zuzu,kufanya siasa kunahitaji akili,mnakitia aibu chama
 
Mimi nitakufanyia flashback mtu km Wewe unaogeuza Nyumbu wenzio wa ufipa[emoji3]

Wewe ni Chadema usiikane sacos ya dj au umeishiwa kupewa gwanda tu[emoji3]
Ha ha ha,sijajua hasa Nani hasa alikupea hii deal ya buku saba,,tatizo lako Ni moja tu,hujui namna ya kukitetea chama,unajikuta unaongea ugoro bila pengine kufahamu,sababu pengine labda huna akili nyingi,
Sasa nikushauri kitu,,jaribu kupunguza pointless kwenye post zako
 
Hahaha mimi Siwezi kushuriwa na punga Mkuu
Umesema Wewe unapenda kugeuza Nyumbu

Kusikiliza ushauri wa punga ni laana kwa Mungu na Binadamu
Ha ha ha,sijajua hasa Nani hasa alikupea hii deal ya buku saba,,tatizo lako Ni moja tu,hujui namna ya kukitetea chama,unajikuta unaongea ugoro bila pengine kufahamu,sababu pengine labda huna akili nyingi,
Sasa nikushauri kitu,,jaribu kupunguza pointless kwenye post zako
 
Kwahiyo Wewe unapowageuza nyumbu wa ufipa na kuwafanyia mchezo mbaya hukitii aibu chama ?
Halafu shida yako ingine,unajifanya much know Sana,wakati hauna exposure kivile hence unapongea,unaongea pumba,,educate yourself bana..
 
Kwahiyo unaona wivu mimi kujifanya much know ?[emoji3]

Nipo tayari uwe mke ili nikuambikize huo u much know unaoutamani
Halafu shida yako ingine,unajifanya much know Sana,wakati hauna exposure kivile hence unapongea,unaongea pumba,,educate yourself bana..
 
Matiko naomba milioni kumi katika hizo milioni 110.ulizopewa na Mimi nikale bata
 
Hahaha mimi Siwezi kushuriwa na punga Mkuu
Umesema Wewe unapenda kugeuza Nyumbu

Kusikiliza ushauri wa punga ni laana kwa Mungu na Binadamu
Kwahiyo wewe unashauri a na Nani labda kea mfano?
Kijana sikiliza maneno ya wakubwa zako,,sisi humu ndo wataalamu,,usiingie kichwakichwa au la Rudi facebuku huko
 
Hahaha Mkuu nakushauri kimbia Chadema, rudi Ccm
Ccm ni kwa ajili ya wa Watanzania wote

Punguza panic tuijenge Tanzania

Huchoki kuitwa kamanda wakati hata jkt hujaenda?[emoji3]
Nacheka sana nikimuona mtu anajiita kamanda [emoji3][emoji16]
 
Hahaha Mkuu nataka niende na Huyu msukule wa dj hadi niutie mfukoni

Hawa wakijifanya vichaa Wewe unawapa asilimia 200 za ukichaa

@bia yetu wamekushindwa kwa hoja wanajaribu kukushambulia wewe binafsi yaani mpaka nacheka
 
Back
Top Bottom