Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amjibu Spika Ndugai kuhusu kurudisha Posho

Kwahiyo unaona wivu mimi kujifanya much know ?[emoji3]

Nipo tayari uwe mke ili nikuambikize huo u much know unaoutamani
Mimi nakuonea huruma mwanaccm mwenzangu unavyojichora humu,,ndo maana najaribu kukurekebisha,jua haya maandishi yanasomwa na mamilioni,Sasa just imagine watu milioni wanakufikiria,hivi hili tindiga limetoka wapi"
Yaani legacy yako Ni umbumbumbu
 
Mkuu mimi nasikiliza ushauri wa watu wanaojielewa ila sio punga km ulivyojiita huko juu

Kuna Chadema humu tunapiga siasa ila kwenye uzi usio wa siasa hatuna tofauti

Sasa Wewe msukule wa dj utakuwa unavimba mashavu kila siku kws hasira
Kwahiyo wewe unashauri a na Nani labda kea mfano?
Kijana sikiliza maneno ya wakubwa zako,,sisi humu ndo wataalamu,,usiingie kichwakichwa au la Rudi facebuku huko
 
Hahaha Kwahiyo hilo gwanda la Chadema umelivua Kamanda ?

Ila kwa jinsi upepo unavyovuma hapo Ufipa lazima uchane kadi
Mimi nakuonea huruma mwanaccm mwenzangu unavyojichora humu,,ndo maana najaribu kukurekebisha,jua haya maandishi yanasomwa na mamilioni,Sasa just imagine watu milioni wanakufikiria,hivi hili tindiga limetoka wapi"
Yaani legacy yako Ni umbumbumbu
 
Hahaha Mkuu nataka niende na Huyu msukule wa dj hadi niutie mfukoni

Hawa wakijifanya vichaa Wewe unawapa asilimia 200 za ukichaa
Haha ha,thubutu,am the master of this,,we can go one on one for a week if you want
 
Matiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza

Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Kwani kabla ya kuwa mbunge alikuwa anafanya kazi gani?mijitu ya ovyo
 
Mkuu mimi nasikiliza ushauri wa watu wanaojielewa ila sio punga km ulivyojiita huko juu

Kuna Chadema humu tunapiga siasa ila kwenye uzi usio wa siasa hatuna tofauti

Sasa Wewe msukule wa dj utakuwa unavimba mashavu kila siku kws hasira
Watu wanaojielewa Kama Nani?,
Ungekuwa unajielewa ungehoji mtu aliekaa na mgonjwa wa corona kwanini kajiweka karantini?.
Hilo tu linaonyesha wewe Ni hopeless case,hujielewi
 
Hakuna hoja hapa ni utopolo mtupu na kujifanya una maisha mazuri kwakukaa ndani kama mfugo huku wananchi wajimboni kwako wanateseka mwehu kabisa, eti
 
Ndio umeandika lugha hapa bwana punguzee Mimi sina elimu dunia
Ooh kumbe huna elimu,SI ungereseat baada ya kufail,,?,badala yake umekimbilia ajira ya mda ya buku 7,
Anyway siandiki kwa ajili yako tu,it is for globo audience
 
Majizi
 
Kumbe Wewe Ndio mbeba mkoba wa matiko [emoji3]

Haya Mbunge wetu mzuri anaendeleaje?
Watu wanaojielewa Kama Nani?,
Ungekuwa unajielewa ungehoji mtu aliekaa na mgonjwa wa corona kwanini kajiweka karantini?.
Hilo tu linaonyesha wewe Ni hopeless case,hujielewi
 
Mbona Wewe uliesoma huna tofauti na nyimbu wa Serengeti ?
Ooh kumbe huna elimu,SI ungereseat baada ya kufail,,?,badala yake umekimbilia ajira ya mda ya buku 7,
Anyway siandiki kwa ajili yako tu,it is for globo audience
 
Mbona Wewe uliesoma huna tofauti na nyimbu wa Serengeti ?
Kwanini unasema hivyo?,hujaona post zangu za akili?,bia yetu Mimi Niko smart than you can imagine,
Yaani Hapa duniani tunahesabika yaani,,hebu onyesha utopolo nimewahi andika humu,am very smart actually
 
Hahaha usmart gani huu wakujiita punga?
Kwanini unasema hivyo?,hujaona post zangu za akili?,bia yetu Mimi Niko smart than you can imagine,
Yaani Hapa duniani tunahesabika yaani,,hebu onyesha utopolo nimewahi andika humu,am very smart actually
 
Asante sana mamiloo, usikubali kulamba miguu kama baadhi yao waliojipendekeza kwa kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu mfano ni fulani japo mnatoka kanda moja, lakini kawaaibisha sana vidume wa kanda yenu. Big-up mama LA mama, IMEISHA IYOO..!!
 
Hahaha usmart gani huu wakujiita punga?
Ha ha ha,we jamaa first sijajiita punga japo unainsist nimejiita punga,
Pili,what does being punga have to do with being smart?
It doesn't relate,get that fact in your small mind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…