Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amjibu Spika Ndugai kuhusu kurudisha Posho

Hahaha Mkuu naomba unijibu maswali yangu


Umesema Alexander the great alikuwa shoga Ndio ali kuvutia huko Kwasababu yeye alikuwa ni akili kubwa ?

Je kwa kiasi Gani imeathirika toka uanze hiyo tabia?
Je hujutiii huo ushetani mkuu? Na vipi jamii inskuchukuliaje?

Ninavyojua kwenye chama chenu kuna wabunge wawili wanatuhuma km ulizozikiri hapa ! Je chama kina ruhusu hili jambo ?
 
Mkuu Mimi najua jinsi vijana Wengi walivyoharibika sababu ya upunga tunakutana nao mtaani

So napata picha jinsi ulivyo Ndugu yangu

Huyu alexender the great alaaniwe yeye na kizazi chake kwa kukuingiza kwenye upunga
Pole sana Ndugu yangu
Usiongee vitu usivyovijua,,dhambi ndo Nini?
 
Hujaelewa soma upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha,kwahiyo Alexandra siyo punga,kawa shoga Tena?
Nasema hivi,,wewe hauna impact yeyote kwenye chama,na hizo kelele zako humu zinatufanya wanaccm kuonekana hopeless,hauna point unabwabwaja mambo yasiyo na kichwa Wala mguu,wewe unadhani unasaidia lakini badala yake wewe unaharibu taswira nzuri na iliyotukuka ya chama chetu,haufai hata chembe
 
Mkuu sikujua tofauti ya punga na shoga ni nini?
Na mtu mwenye akili Alexandria the the great ali ku insipire kuingia kwenye upunga alikuwa mtu gani

Naomba unifafanulie wewe umekaa upande wa shoga au punga
 
Sidhani Kama wamura na waghaka tutakupa Jimbo Tena maana kila saa kesi kesi kesi, Mara hiki Mara kile full vituko tuu, five years , nangire muraa , I bhina , ibhina, ibhina, tutakuhe ichikura, aliskika mzee mmoja wa kikurya akilalamika kwa uchungu .
 
Mkuu sikujua tofauti ya punga na shoga ni nini?
Na mtu mwenye akili Alexandria the the great ali ku insipire kuingia kwenye upunga alikuwa mtu gani

Naomba unifafanulie wewe umekaa upande wa shoga au punga
Ha hujua maana?,
Punga Ni mtu anaegawa dozi,so Alexandra alikuwa punga na alikuwa smart pia,
Lakini nishakutoa wasiwasi,sitakunalii,ondoa Shaka,nilikuwa nakutania tu
 
Kwahiyo Mkuu unanivunjia kuwa punga ? Kwasababu Alexander the great alikuwa punga?

Je kuna faida yeyote ya kuwa punga?
Ha hujua maana?,
Punga Ni mtu anaegawa dozi,so Alexandra alikuwa punga na alikuwa smart pia,
Lakini nishakutoa wasiwasi,sitakunalii,ondoa Shaka,nilikuwa nakutania tu
 
Matiko tulimtoa pale UDSM kitengo cha Political Science and Sociology akiwa binti mdogo tena akiwa lecturer msaidizi. Tumemkuza kisiasa na kiimani.
I dout, kasoma MBA pale ud, kamaliza 2005, na nadhani alikuwa mwalimu pale udbs

Stay home, stay safe
Corona kills
 
Kwahiyo Mkuu unanivunjia kuwa punga ? Kwasababu Alexander the great alikuwa punga?

Je kuna faida yeyote ya kuwa punga?
Nishasema,siwezi kukuvunjia yai,Kama alivyokua Alexandra anawavunjia watu
 
Mbona humuulizii Baba mwenye nyumbani(Nahodha Hodari?)Yupo kwenye kituo chake cha kazi(Magogoni/Chamwino)?
Sio kosa lako ni ufahamu wako tu ndio mdogo mbunge ofisi yake ni Jimbo lake tu raisi mtawala wa nchi nzima ni ajabu kwa mbunge wa hai kuwa dar ila sio ajabu kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa chato hata hai anaruhusiwa kukaa
 
Matiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza

Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Polepole nakuona unavyohangaika kumnasa huyu binti kwa dau dogo! Wale 12 wanaohudhuria nasikia umewatwist hadi wakaunda serikali ya kimapinduzi bungeni eti, wamempindua kub! Matiko siyo wa Bei ndogo, panda dau!
 
Hahaha kwani kuna biashara Mkuu
Polepole nakuona unavyohangaika kumnasa huyu binti kwa dau dogo! Wale 12 wanaohudhuria nasikia umewatwist hadi wakaunda serikali ya kimapinduzi bungeni eti, wamempindua kub! Matiko siyo wa Bei ndogo, panda dau!
 
Najua huwezi lkn naomba hapo ufipa muache kufanyana hivyo chama chenu kitapata laana Mkuu
Kumbe unajua siwezi?,ila ukijitahidi kuwa sopu sopu naweza kushawishika,usikate tamaa bana..
 
Hahaha kwani kuna biashara Mkuu
Ndiyo! Lile furushi ulilobeba kwenda nalo segerea ukijidai ni nguo za kubadilisha za Msigwa kumbe ni pesa za kumhonga Msigwa tuliliona na ndio maana tulikutimua!
Kwanini unapendaga kubeba mabegi ya pesa kwenye gari yako Kama wanunuzi wa ngo'mbe mnadani za Nini? Una biashara ya bucha?
 
..kwa kweli ccm wamezidiwa kwa hoja.

..sijawahi kuona ccm yenye ombwe la kifikra kama hii ya awamu ya 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…