Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ila lazima tutambua kwa siasa za aina hii ni vigumu kwa nchi yetu kupiga hatua kimaendeleo.Walioshiriki kuwatenganisha Mbowe na Zitto wamemaliza kazi sasa wanaondoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni muhimu kila raia ajikite zaidi kuboresha hali yake ya maisha binafsi na familia yake, kuweka nguvu kwenye siasa za hii nchi ni matumizi mabaya ya akili.