Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

CDM mnafeli wapi naona nyumba yenu ina nyufa kibao sana, navyoona mvunje tu chama wote mhamie NCCR mageuzi. Kumbe kweli majina huumba huku mapinduzi kule mageuzi
nyie mbaki na mapinduzi na mageuzi CHADEMA wanakwenda na maendeleo
 
Kubenea alikuwa anabebwa na chama ila yeye binafsi ni mwepesi sana
 
hahahaha hahahha, nimzepata za chini chini, kubea leo anang'oka Rasmi chadema na kujiunga na Nccr Mageuzi na ameisha aidiwa ukatibu mkuu .

Nccr inaamini ikimpata kibenea sjui kubenea itakuwa imepata mtu wa kumchachafya John Mnyika katibu mkuu chadema.
kwa sasa vyama vya upinzani havina tena ajenda ya kuungana kuing'oa ccm bali vinaparulana vyenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za madaraka, vyeo na salio haziwezi kuleta matokeo yoyote ya maana. Hili tumelieleza na kufafanua mara nyingi. Kwa bahati mbaya bado ni kundi dogo tu ambalo linaelewa na kukubaliana na ukweli huu.

Kama motive kwenye siasa ni cheo, ni sahihi mtu kufanya matendo yatakayompatia cheo kikubwa Zaidi. Kama motive ni madaraka, ni sahihi mtu kufanya kitendo kitakachompa madaraka Zaidi. Kama motive ni salio, ni sahihi mtu kufanya kitendo kitakacho mpa salio Zaidi.

Hiyo haitajalisha uzuri, ubaya au madhara ya kile akifanyato mtu bali 'motive'.
 
we mzee kama unakwenda kuunga juhudi nenda salama usituchoshe, tena ondoka na mkeo kabisa usituachie matatizo.
 
Unazungumzia mnyika huyu aliyekuwa dhaifu jimboni haonekani anaishi kama digidigi jimboni


Wanakibamba wanahasira naye hata akiwekwa hata na mbwa .mbwa anashinda

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe unaishi kibamba,karibu haba msumi upate kitimoto maana naona njaa inakuuma sana
 
CCM imewaambia kwamba waende kwanza NCCR kama kituo cha mda lakini lengo ni kwenda ccm au watafadhiliwa hukohuko nccr
Ukitoka Libya kuhamia Ulaya kwa nia za panya kuna kisiwa cha kwanza unafikia kinaitwa LAMPADOSA!!!NCCR ni lampadosa kwa mheshimiwa,kama ni kweli!!
Kuna mtu anaitwa Chahali kuna wakati alieleza kuwa CHADEMA kuna wabunge wawili ambao ni waajiriwa wa
 
Ccm wamtumie slaa awape mbinu za kuiuwa cdm zote zimebuma hata hii ya nccr kituo nayo itabuma Kama zilivobuma za manunuzi,
 
Back
Top Bottom