Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

Mathayo : Mlango 3
7 Hata alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?

Huyu alikuwa na mdomo mchafu na hasira kali. Unawaitaje watu uzao wa nyoka?

Halafu unasema una hasira na sisi ilhali sisi unatuambia tusameheane mara 490. Staafu.
 
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
Kwani Video Conference hakuna??
Hii mikusanyiko hii mbona watu wanakuwa wagumu kuelewa????
Nini cha ajabu mpaka muitishe waandishi?
Tuoneeni huruma kha!
 
Ninyi nanyi mnatuchosha bhana. Hizi ni nyakati za kupambana na Corona sii kufanya siasa.

Na nyie waandishi muulizeni huyo Kubenea wamemuweka wapi Ben, maana kuna wakati alidai anajua alipo!
Iwapo ataanza safari, hakika atelizungumzia hilo katika safari yake hiyo
 
Serikali kupitia chama cha CCM, itangaze kufuta mfumo wa vyama vingi Tanzania, tubaki na chama kimoja CCM. Wapinzani wawe ndani ya CCM na sio nje

Sent using Fly in any Weather.
Wanao futa vyama vingi ni viongozi wa vyama vya upinzani wanao vihama vyama vyao! Msitafute mchawi. CCM haihusiki!
 
Kuna kitu kinanitatiza nashindwa kuelewa siasa za sasa zikoje hasa kwa hii awamu ya tano.
Viongozi mmoja baada ya mwingine wale wajiitao wa upinzani (ingawa makeke yao hatuyaoni) wanaunga mkono juhudi au kuikimbia Chadema.
Lakini huku mtaani RAIA wapiga kura wanazidi kujiunga kwa wingi na Chadema na majuzi tumeona ya ajabu sana katika siasa zetu. Wame wachangia hadi mia mbili viongozi wao kulipa faini haijawahi kutokea. Wanawake hadi vijijini leo hawaogopi tena kufanya sherehe za Chadema na kuvaa sare za chama tofauti za zamani ulikuwa usiri na huko Kyela wananchi wameamua kwenda kumlimia shamba lake na kupanda Diwani wao was Chadema aliyeko mahabusu na kanyimwa dhamana.
Mifano hiyo tuu haiwaonyeshi hao wahamaji kuwa Chama hiki ni imara zaidi Leo kuliko Jana? Na suala la Tumehuru likivaliwa njuga hivi ccm itapumulia wapi kama sio mortuary?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na yeye aende kule ambako mwenyekiti wao alihaidiwa majimbo 15 ya ubunge kwa hisani ya yule dikteta mwendawazimu ili kuhalalisha kinachoitwa uchaguzi huru na wa haki. Amelaaniwa mwendawazimu yule.
 
Haya mapumbavu sisi tunahangaika na corona wao wako busy na matumbo,hawana hata maono uchaguzi mwaka huu hamna ,Rais aliongea tulisa chapter 2 sasa tupo chapter5,Aminu usiamini habari ndiyo hiyo
 
Kwanza akalipe malimbikizo ya kodi miaka mitano pale Urafiki. Mjinga wa head huyu. Ndio maana sijawahi hama Chama tangu nizaliwe.
 
Baadhi ya wanasiasa wa upinzani wa Tanzania, huwa wanaowanaje wapiga kura, mashabiki na wanachama wao?
Kama huyu, anaita mkutano kueleza nia yake ya kuhama chama badala ya kuimarisha ushiriki wake katika vikao vya bunge la bajeti! Inashangaza sana.
Malofa tu. Wakigeuziwa gia angani hawana shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninyi nanyi mnatuchosha bhana. Hizi ni nyakati za kupambana na Corona sii kufanya siasa.

Na nyie waandishi muulizeni huyo Kubenea wamemuweka wapi Ben, maana kuna wakati alidai anajua alipo!
Ataongelea kuhusu CORONA hatua ambazo serikali inatakiwa kuzichukua
 
Back
Top Bottom