Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

Aondoke komu halafu kubenea abakie [emoji44]

Kubenea ni ndumilakuwili

Nakumbukaga enzi za JK alivyopewa kichapo na wasiojukikana [emoji40]

Aendee tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mmiliki wa Mwanahalisi si ni huyo Komu akishirikiana na Kubenea?

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Bila Shaka huenda ikawa ni rahisi sasa Kwa yeye kuelezea kiunagaubaga kumhusu (Saa 8 :Nibe) kulingana na habari iliyochapishwa na gazeti lake kipindi hicho kumhusu (Saa 8: Nibe)
 
Safari njema kaka Kubenea. Ila kumbukeni tu mzee Magu alishasema wote wenye makovu matakoni baada ya kukatwa mikia wasitegemee teuzi mezani mwaka huu
 
Baadhi ya wanasiasa wa upinzani wa Tanzania, huwa wanaowanaje wapiga kura, mashabiki na wanachama wao?
Kama huyu, anaita mkutano kueleza nia yake ya kuhama chama badala ya kuimarisha ushiriki wake katika vikao vya bunge la bajeti! Inashangaza sana.
 
Yajayo yanafurahisha itabaki story marehemu cdm tulimpenda Sana
 
Mkutano wa waandishi wa habari kukutana na mwanadishi wa habari
 
Baadhi ya wanasiasa wa upinzani wa Tanzania, huwa wanaowanaje wapiga kura, mashabiki na wanachama wao?
Kama huyu, anaita mkutano kueleza nia yake ya kuhama chama badala ya kuimarisha ushiriki wake katika vikao vya bunge la bajeti! Inashangaza sana.
We amekuambia anahama? What if akizungumzia corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubenea akigombea tena kwa chadema hashindi naye anajua nikama kina selasini,lema,msigwa nk.
Selasini ni m-ccm sijui kwanini anachelewa kujiunga hko!! Chadema wanarudi kuwa kama Tadea inasikitisha maana hali in mbaya na aliyesababisha anazidi kunawiri na kukubalika
 
Back
Top Bottom