mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Na mmiliki wa Mwanahalisi si ni huyo Komu akishirikiana na Kubenea?Aondoke komu halafu kubenea abakie [emoji44]
Kubenea ni ndumilakuwili
Nakumbukaga enzi za JK alivyopewa kichapo na wasiojukikana [emoji40]
Aendee tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my SM-J700H using Tapatalk