Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea (CHADEMA) kufanya mkutano na waandishi wa habari Aprili 2, 2020

Kampeni za uchaguzi Mkuu 2020 tutsikia mengi sana!

Tupiganie uzima tu.
Natoa mfano tu "Chadema haijagharimia chochote kwa matibabu ya Tundu Lissu Ubelgiji bali nijuhudi zetu mimi na Kubenea.." - Antony Komu
 
Siangoje Corona ipite kwanza.

Na kama ni mambo ya kujivua Gwanda, Duh ndugu sasa hili jambo litakuwa limevuka mipaka yote na linihitaji kikao kizito cha ndani cha Chadema.

HAIWEZEKANI wote hawa wakawa MAMLUKI, lazima kutakuwa na tatizo ndani ya chama.

Ni muongo atakaye ona ni sawa kwa chama kikuu cha upinzani kuanguka, raha ya siasa ni kuwa na upunzani madhubuti na wenye nguvu. Chadema kikifa watakao sidi kuumia kwanza ni sisi wana CCM, tutaona mengi ya kiajabu ajabu.

Chadema wacheni kiburi na kebehi zenu za kijinga. Msijifiche kwa kujifika ushungi, ushungi huvaliwa na wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitaka tumpongeze na champagne?
Hifanyieni SELF ASSESSMENT , sio bure kuna tatizo kubwa chamani kwenu. Msitafute njia za mkato, kaeni kitako mujaribu kuzirafuta nyufa na kuziziba. Hao wanao ondoka ,kuna mamluki na kuna waluonewa, udhiwa, dhulumiwa na waliona fosari nyingi na kutosikilizwa, sio kila mmoja kanunuliwa.

Ni siasa rahisi na za kijinga kuwatukana waliojivua Gwanda na kuwakebehi, wajibu wa chama nu kujitafakari na kujirekebisha kama kuna dosari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubenea na Komu si ndiyo walinaswa maongezi yao wakipanga njama za kumuua Meya Bonifasi.
 
Mkirindi, Chadema ni imara na bado itaendelea kuwa hivyo Mkuu. Tuko kwenye vita vya kisiasa hasa kipindi hiki tunakoelekea uchaguzi mkuu oct. 2020. Hivyo lazima kuwepo makapi na ngano halisi.

Upepo unapovuma majani mengi hupukutika na mengine kubaki kwenye mti. Je ni kosa la mti?? Ondoa hofu majani mengine yatachipua na maisha ya mti kuendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu alikuwa na mdomo mchafu na hasira kali. Unawaitaje watu uzao wa nyoka?

Yeye ndio Ukweli na ukweli utakuweka huru. Nyoka anayeongelewa sio hawa akina chatu bali malaika muasi mkuu, shetani. Yoyote anayekataa wito wa Mungu aliyehai wa uzima wa milele kwa utashi wake baada ya kuusikia wito huo, ni wa kizazi cha huyo nyoka.
“You belong to your father, the devil and you want to carry out your father’s desire”, John 8:44
 
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea, kesho Alhamis Aprili 2, 2020 atazungumza na waandishi wa habari moja kwa moja kutoka ofisi za gazeti la MwanaHALISI Kinondoni, jijini Dar es salaam.
Hivi hao wanahamahama ikitokea uchaguzi umeahirishwa kwa sababu ya CORONA kama ilivyotokea Ethiopia na wameshapoteza udhamini wa Chama chake cha zamani ataendelea kulipwa kama Mbunge?
 
Ninyi nanyi mnatuchosha bhana. Hizi ni nyakati za kupambana na Corona sii kufanya siasa.

Na nyie waandishi muulizeni huyo Kubenea wamemuweka wapi Ben, maana kuna wakati alidai anajua alipo!
Mkuu, Safi Sana Kwa swali ambalo wandishi watakohudhuria waliuluze!!

Kiukweli wasipoliuliza watakuwa hawalitendei vema Taifa na Tasinia Yao ya habari
Tumuombe bwana Mayalla awepo katika press conference hiyo leo, nadhani yeye ataulizia hili swali
 
Naelekea ofisi za Gazeti la Mwanahalisi kwenye kikao baina ya mwandishi nguli na mbunge wa ubungo mh Saed Kubenea na waandishi.

Kinachonipeleka huko siyo kujua kama Kubenea anakwenda Nccr au ACT wazalendo kwani kwangu hiyo siyo habari, bali habari ni kupata taarifa za Ben.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom