Hii habari ni uwongo na ina mrengo fulani ya kuonyesha kwamba Russia wana ushawishi, Germany sio Tanzania ndege za kivita za Euro fighter jet ni mkono wa mjerumani
Vifaru chapa leopard 2 vinavyo ogopeka duniani, na aina nyingine nyingi za silaha zinatengenezwa Germany so unapoamua kuleta habari basi punguza mahaba
Hatukatai kwamba Germany hawawezi kushindwa vita endapo itatokea vita leo, Germany huko nyuma tayari walishashindwa vita mara kibao tu mbona
Kama jeshi la Ukraine limeweza kulinda Kyiv up to now mbele ya super power Russia, wachambuzi mnatakiwa mbadilike, vita siyo mahaba na ushindi katika vita haupatikani kwa ukubwa wa nch, ukubwa wa jeshi nk