Mbunge wa Viti Maalum (CUF), Riziki Lulida aomba kurejea CCM. Asema Rais Magufuli ni msikivu alifuturu naye na kuongea naye kama ndugu

Mbunge wa Viti Maalum (CUF), Riziki Lulida aomba kurejea CCM. Asema Rais Magufuli ni msikivu alifuturu naye na kuongea naye kama ndugu

Sishangai kurudi CCM ikiwa alikuchukuwa kufuturu. Kama ulifunga ulitakiwa ufutAri, lakini wewe ilifutUru na yeye.

La pili uwache uwongo wewe, mwaka 2015 ramadhani ilikuwa August kabla ya uchaguzi mkuu.
😂😂😂😂😂
 
Mambo si ndio hayo[emoji173]
PicsArt_11-29-01.41.15.jpeg
 
Back
Top Bottom