M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Nov 29, 2020 #41 ikipendaroho said: Sishangai kurudi CCM ikiwa alikuchukuwa kufuturu. Kama ulifunga ulitakiwa ufutAri, lakini wewe ilifutUru na yeye. La pili uwache uwongo wewe, mwaka 2015 ramadhani ilikuwa August kabla ya uchaguzi mkuu. Click to expand... πππππ
ikipendaroho said: Sishangai kurudi CCM ikiwa alikuchukuwa kufuturu. Kama ulifunga ulitakiwa ufutAri, lakini wewe ilifutUru na yeye. La pili uwache uwongo wewe, mwaka 2015 ramadhani ilikuwa August kabla ya uchaguzi mkuu. Click to expand... πππππ
Manjagata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 13,942 Reaction score 15,371 Nov 29, 2020 #42 Victoire said: tindo njoo uone siri ya teuzi. Sasa mimi ningetaka ningeshindwa vipi kwa mfano. Tena nilivyo intelligent...... Click to expand... Kababa watoto katakuwa kalimpakua huyo mama!
Victoire said: tindo njoo uone siri ya teuzi. Sasa mimi ningetaka ningeshindwa vipi kwa mfano. Tena nilivyo intelligent...... Click to expand... Kababa watoto katakuwa kalimpakua huyo mama!
ORCA ACE JF-Expert Member Joined Jan 18, 2020 Posts 1,449 Reaction score 1,708 Nov 29, 2020 #43 Hachen kulainisha maneno, kifupi alimfuturu Abul Aaliyah said: Kwel kabsa na walifuturu kwerkwer Click to expand...
Hachen kulainisha maneno, kifupi alimfuturu Abul Aaliyah said: Kwel kabsa na walifuturu kwerkwer Click to expand...
kayaman JF-Expert Member Joined Aug 3, 2013 Posts 4,516 Reaction score 10,423 Nov 29, 2020 #44 Mambo si ndio hayo[emoji173]
Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 11,786 Reaction score 18,562 Nov 29, 2020 #45 kayaman said: Mambo si ndio hayo[emoji173]View attachment 1637541 Click to expand... Huyo ni kama mama yako heshima tafadhali, pia msisahau kwamba ni mlemavu kwahiyo kuteuliwa kwake hakuna cha ajabu
kayaman said: Mambo si ndio hayo[emoji173]View attachment 1637541 Click to expand... Huyo ni kama mama yako heshima tafadhali, pia msisahau kwamba ni mlemavu kwahiyo kuteuliwa kwake hakuna cha ajabu
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Nov 29, 2020 #46 Marco Polo said: Huyo ni kama mama yako heshima tafadhali, pia msisahau kwamba ni mlemavu kwahiyo kuteuliwa kwake hakuna cha ajabu Click to expand... Ulemavu wake unahusu Nini hapaππ
Marco Polo said: Huyo ni kama mama yako heshima tafadhali, pia msisahau kwamba ni mlemavu kwahiyo kuteuliwa kwake hakuna cha ajabu Click to expand... Ulemavu wake unahusu Nini hapaππ