MsagajiHapa nimetoka kapa chifu .....hebu fafanua kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MsagajiHapa nimetoka kapa chifu .....hebu fafanua kidogo.
Akafia gest house MoroYule yule aliye mpyuu mpyuu dereva daladala
Wabunge walishajua Wapiga kura wao NJAA ZINAWATESA SANA ndio maana hata NAPE alipopiga Pesa ya Helkopta akaenda kuwapa FutariHivi kweli watu wa Kondoa shida yao ni futari tu?
na wenyewe wameridhiiika!
Ajabu hii!
Ni swala la kushukuru maana sio wote wana moyo huo hongera kwako MARIAMHivi kweli watu wa Kondoa shida yao ni futari tu?
na wenyewe wameridhiiika!
Ajabu hii!
kushukuru kwa futari? kwani walikuwa hawafuturu hapo kabla na baada? kuweni serious bac.Ni swala la kushukuru maana sio wote wana moyo huo hongera kwako MARIAM
hao wavaa makobasi watachelewa sana na hizo futari zao!Wabunge walishajua Wapiga kura wao NJAA ZINAWATESA SANA ndio maana hata NAPE alipopiga Pesa ya Helkopta akaenda kuwapa Futari
nasema hivi, hao wavaa makobasi wa kondoa watachelewa sana! waendelee kufuturishwa tu!Acha gubu, huu ni utamaduni wa Watanzania na watu wengi duniani kipindi hiki cha Mfungo, tena ni dua maalum ya kuombea Taifa, shida iko wapi? sio kila kitu lazima tukosoe