Ndimuuuu, mendeeee.Chumvi!!
Hujawafotoa kapicha mkuu?, Nusrat Mashallah ana kitu!.Mtangazaji nguli wa Michezo Maulid Kitenge amefunga ndoa na mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje.
Harusi hiyo iliyofanyika kwa usiri mkubwa katikati ya wiki iliyopita imeibua mjadala mkubwa kwa kile kinachodaiwa mtangazaji huyo mkongwe kutowaalika marafiki zake wa karibu ambapo watu saba tu ndio walihudhuria tukio hilo.
Nusrat Hanje ni mbunge wa spika,Chadema haina mbunge wa viti maalum.Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema[emoji23]
Kwahiyo mbunge anakua mke number tatu kwa maureed kitenge loh, wanaume ni adimu sanaa.Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema[emoji23]
Kitenge sasa ni shemeji yenuNusrat Hanje ni mbunge wa spika,Chadema haina mbunge wa viti maalum.
Kipendacho rohoKwahiyo mbunge anakua mke number tatu kwa maureed kitenge loh, wanaume ni adimu sanaa.
Mke mwenza???Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema[emoji23]
IslamMke mwenza???
Una maana ni mchicha mwiba?Mbona kuna habari mara kitenge ni ......habari fulan hivi naonaga uzushi na chuki tu juu yake? sasa wewe mke mmoja mwenzako wake watatu, nani shabab?