Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

Acha aoe,maana wanawake wanaotaka kusitiriwa ni wengi,na baadhi yao wanakwepwa.
Huyo Nusrat mwenyewe,kuolewa kwake inasemekana ni pigo kwa madereva wa wabunge na mawaziri,maana kumpatapata itakua siyo kama kabla hajachukuliwa na Kitenge.
Shida hana uchoyo na antena haipo
 
Mtangazaji nguli wa Michezo Maulid Kitenge amefunga ndoa na mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje.

Harusi hiyo iliyofanyika kwa usiri mkubwa katikati ya wiki iliyopita imeibua mjadala mkubwa kwa kile kinachodaiwa mtangazaji huyo mkongwe kutowaalika marafiki zake wa karibu ambapo watu saba tu ndio walihudhuria tukio hilo.
Huyu nusrat si alikua analiwa na bashiru na salum mwalim?
 
Mwamba ninacho mkubali haoi wenye njaa,anajiwekaga kwa wanawake wenye hela,maswala mizinga ya kodi,sijui njaa hajala,sijui bundle nk hataki kuyasikia yaani kwa kifupi hadate na wanawake wenye njaa.
Safi
 
Mbona kuna habari mara kitenge ni ......habari fulan hivi naonaga uzushi na chuki tu juu yake? sasa wewe mke mmoja mwenzako wake watatu, nani shabab?
Hana wake watatu. Aliwahi kuoa wawili kabla.

Jiulize walikwenda wapi?
 
Back
Top Bottom