Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

IMG_0053.jpeg
Huyu si chadema tena
 
Siasa sio uadui kwa watu wenye Akili nzuri !
Lakini kwa wale mburula vilaza wenye kushikiliwa Akili zao na Yule anayewapa pesa ya siku ya kula hawawezi kukuelewa !!
Na kwa bahati mbaya hao ndio wapo kila penye ofisi ya Chama wakicheza draft na karata mchana kutwa wakisubiri dili la kwenda kudhuru au kumtukana mbaya wao. !
Hatar sana. 😅😅🙏🙏
Hatari sn
 
kitenge ana wake wa 4 kitambo sana. since yupo itv. Huyu kama sio wa 6 au 7. hivi. kuna alot of rumours about afya ya kitenge pia.. I think hii inaweza ikawa ndo push maker ya ndoa. since huyu mama alikuwa dodoma kuna raia wameishi nae sana. since she is very out going. sema i shouldn't say much. ndoa ni ndoa. we close the chapter.
 
Back
Top Bottom