Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Mmoja wao ilisikika anajihusisha na mambo ya jinsia moko. Sijui huko ndoani huduma anatoa sawa sawa au la.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajane wa Mwendazake na Ujinga wa Mtu Mweusi.Ni wa chama gani?
Watu wana bahati zao unaoa pisi kali kua mke wa tatu, wakati kuna wengine kupata pisi kali kua mke wa kwanza ni mtihani.Naipongeza CHADEMA kwa hilo. Nusrat ni pisi kali sana miongoni mwa pisi za kutokea Ufipa. Hapo utakuta kwenye mgawo wa mahari Mbowe kaondoka na kakitu.
Dr Mashinji katema bungo 😄😄Watu wana bahati zao unaoa pisi kali kua mke wa tatu, wakati kuna wengine kupata pisi kali kua mke wa kwanza ni mtihani.
Anasema wewe hamnazoMwenyekiti anasemaje?
Alizidiwa na Bashiru,naona Bashiru kaburuza hadi kakinai kamuachia mzee wa mipira iliyokufa naye akahangaike nalo.Dr Mashinji katema bungo [emoji1][emoji1]
Ila huyo Nusrat naye ana watoto wawili kama sio watatu. Ni pisi kali ila imeshatumikaWatu wana bahati zao unaoa pisi kali kua mke wa tatu, wakati kuna wengine kupata pisi kali kua mke wa kwanza ni mtihani.
Tafuta fweza bro ..Watu wana bahati zao unaoa pisi kali kua mke wa tatu, wakati kuna wengine kupata pisi kali kua mke wa kwanza ni mtihani.
CHADEMA hawana mbungeMtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂
Mbunge wa IkuluMke mwenza???
Ila rekebisha content yako.
Chadema hawana wabunge wa viti maalum.
Huyo ni mbunge wa tume ya uchaguzi na spika Tulia Ackson.
Waki lindwa na mahakama.
Kumbe used,nilijua jamaa anatoa nylon mwenyewe.Ila huyo Nusrat naye ana watoto wawili kama sio watatu. Ni pisi kali ila imeshatumika
Wewe wasemaCHADEMA hawana mbunge
Wote hao mpo nao UWT kitambo sn tangu enzi ya diktetaWewe wasema
Mbowe: Nilinusurika kuuwawa June 2013 na Watu wasiojulikanaWote hao mpo nao UWT kitambo sn tangu enzi ya dikteta
So what?Mbowe: Nilinusurika kuuwawa June 2013 na Watu wasiojulikana
Udikteta 2013 😂😂😂🔥🔥🔥So what?
Siyo mke namba 4 huyu?Kwahiyo mbunge anakua mke number tatu kwa maureed kitenge loh, wanaume ni adimu sanaa.
Siasa sio uadui kwa watu wenye Akili nzuri !Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje
Hongereni maharusi
Siasa siyo Uadui
Source Jambo TV
Nawatakia Dominica njema😂