TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

Kwa taarifa za ndani kutoka kwa Mmoja wa Nduguze ( naomba nimhifadhi Jina ) alinihakikishia kuwa Mama na Mwana walimwendea Mzee ( Marehemu ) kwa Mtaalam ( Mganga ) huko Sumbawanga ili kumharibu zaidi Akili na walifanikiwa kwa Dhamira yao na aliyewapeleka huko ni aliyekuwa Mbunge mmoja Mkoa wa Watu Wabishi ( sasa si Mbunge tena ila yuko Chama kingine kama Mmiliki ) ambaye huko nyuma ndiyo alikuwa Hawara / Mpenzi mkubwa wa Leah ( Binti mkubwa wa Marehemu ) na hata 90% ya Utajiri alionao sasa ulitokana kwa kuwa Mahusiano na Leah ambaye alikuwa akichukua kwa Baba ( sasa Marehemu ) na Kumpa na pia Kumuunganisha na Baba yake katika deals zake za Kisiasa na hata Kibiashara.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Mwami Ruyangwa.😀😀
 
Hapa Leah Ndio yupi?
IMG_8302.jpg
 
Hakununuliwa Gari dogo na Kujengwa na Leah? Nijuavyo 85% ya Vijana ( Wanaume ) waliobahatika Kutambaa nae na Chaki Kitandani ( kama Kibu Denis na Jesus Moloko ) na Kumfikisha Kilele cha Milima ya Kwao Busegwe walinunuliwa Magari na ama kujengewa Nyumba au Kununuliwa Viwanja.
Hahaha kabisa hujakosea
Vijana wamekula sana pesa zake
Tena vijana wanavyopenda slope
Sema ndy hivyo, alikuwa Ana hangaika
Sana na mahusiano na kutafuta kidy
Ila nlikuwa namuonaga smart sana +Ana roho ya kiuadamu

Ova
 
Hahaha kabisa hujakosea
Vijana wamekula sana pesa zake
Tena vijana wanavyopenda slope
Sema ndy hivyo, alikuwa Ana hangaika
Sana na mahusiano na kutafuta kidy
Ila nlikuwa namuonaga smart sana +Ana roho ya kiuadamu

Ova
Leah ni Dada yangu hivyo naujua Udhaifu wake. Amebeba lawama zote kutokana na Kiburi, Dharau na Ujeuri wake uliotokana na Kulelewa vibaya Mama yake ambaye ukimsikia akiwa anaongea kwa Upole na Utaratibu utadhani Malaika kutoka Mbinguni kwa Mwenyezi Mungu kumbe ni Mtu Katili na mwenye Roho Mbaya kuwahi kutokea.

Wasukuma ( Wanaume na Wanawake ) ni Watu Wakarimu na nimeishi nao ila mpaka leo najiuliza Mama Leah ( Mjane wa Marehemu Mzee Mkono ) ni Msukuma wa wapi na hiyo Roho Mbaya yake iliyojaa Ukatili na Unafiki kaitoa wapi?

Cc: Dr Matola PhD na Bujibuji Simba Nyamaume
 
Wa Kulia mwenye Macho yaliyolegea kuliko Mwenzake. Binti Kamtesa mno Baba yake ( Marehemu Mzee Mkono ) na Mwili ukiwasili nikimuona Analia naweza hata Kumzaba Kibao au Kumtolea maneno Makali.

Katukwaza wengi tuliompenda na kumheshimu sana Marehemu Baba yake ( Mzee Mkono) aliyekuwa ni Mtu wa Watu sana na hakuwa na baya.
 
Leah ni Dada yangu hivyo naujua Udhaifu wake. Amebeba lawama zote kutokana na Kiburi, Dharau na Ujeuri wake uliotokana na Kulelewa vibaya Mama yake ambaye ukimsikia akiwa anaongea kwa Upole na Utaratibu utadhani Malaika kutoka Mbinguni kwa Mwenyezi Mungu kumbe ni Mtu Katili na mwenye Roho Mbaya kuwahi kutokea.

Wasukuma ( Wanaume na Wanawake ) ni Watu Wakarimu na nimeishi nao ila mpaka leo najiuliza Mama Leah ( Mjane wa Marehemu Mzee Mkono ) ni Msukuma wa wapi na hiyo Roho Mbaya yake iliyojaa Ukatili na Unafiki kaitoa wapi?

Cc: Dr Matola PhD na Bujibuji Simba Nyamaume
Kama mwanamke ni Msukuma basi hao ni mabingwa wa ndumba kama lile shuntama limbwata la kihaya.

No wonder Wakili msomi bingwa na mbobezi kageuzwa katuni na hii takataka.

Tena huyo mama kama ni Msukuma wa Maswa ndio hatari danger kabisa ni wachawi kwelikweli.
 
Duh hayo mahusiano ya ex mbunge huyo na L
Nliyajuaga kitambo,duh cmnt hii nnkionganisha dots naona kama kuna
Ka ukweli
Maana nna mwanangu mmja mtoto wa mjini wenyewe tulikuwa tunamuita
D.cheney aliruka naye sana hyu bi dada
Aise mwanangu pole sana na msiba

Ova
Mwana msibani unaenda utuwakilishe?

Msiba umenikumbusha mbali sana enzi za utoto.

Mama Mkono alikuwa anazuka sana home Obay na lile Benzi la chocolate.
 
Back
Top Bottom