TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

Mkono ameondoka Tanzania akiwa mgonjwa mwaka 2018, hujui unachokiandika, sasa hivi kuna mbunge mwingine tangu mwaka 2020, huyo ndivyo yupo responsible kwa hicho unacholalamikia.

Pita Kwa wanavijiji waulize Mkono alikuwa mtu wa aina gani watakwambia siyo wewe wakuja uliyepata ajira ya halmashauri mpya ya Butiama umekwenda hapo kikazi, huwezi kumjuwa Mkono.
Mbunge mpya ana miaka mitatu ndio abebeshwe mzigo wa lawama wa matatizo yaliyopo tangu Uhuru? Simjui mkono sina haja ya kuuliza sababu maneno niliyosikia na nitakayosikia yatabaki kuwa MANENO tu..Sina ajira na sifanyi kazi halmashauri mpya..Wakuja? Wewe hapo unapoishi ni kwenu?
 
Pesa na
Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.

Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.

“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”

“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”

Pesa na Mali vyote ni vyako ewe Mungu. Wale mnadhani Mali au fedha itakuepusha na adhabu ya Kaburi. Endeleeni kupiga endeleeni kujilimbikizia Mali na kuwaacha watu mafukara. Kama viongozi wangelijua hili wangewekeza kwa wananchi na ndipo Mungu angewabariki sana. Amen. RIP Nimrod Mkono
 
Kuna kipindi nilisikiaga tetesi kwamba huyu Marehemu alikuwa anashindana na Marehemu Liyumba kutembea na warembo macelebrit na kuwapatia zawadi Magari yenye rangi nyekundu.
Yaani Liyumba akipita naye , naye anapita naye, Yeye akipita naye Liyumba akisikia na yeye Liyumba anapita naye. Yaani full kushindana.
Ila huyu Mzee alikuwa unique kidogo kama mrembo alikuwa na boyfriend au mume na yeye boy friend au mume alikuwa anapewa gari pia.
Kwamba yeye na Liumba Lao kulikuwa moja kusambaza Umeme Kwa warembo na macelebrit.
Mwenyezi Mungu amhifadhi anapostahili
Nilisikia[emoji23]




Jinga wewe

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo Familia naijua kwa 100% na yaliyokuwa yakiendelea nayo nayajua kwa 100% vile vile na ndani ya hilo Jumba nimeishi sana na Kucheza mno na Mwanae Mkono Junior au Walter ( wenyewe Watu wa Oysterbay na Masaki ) enzi hizo tulikuwa tukimuita Mkono Mental.

Na hata hao Wadogo wa Marehemu Mzee Zadock Mkono na Dokta Japhet Mkono ni Watu wangu wa Karibu, hivyo ukiona nadondosha tu Comment hapa ichukue na iamini tena kwa 100% sawa Mkuu?

Mimi ndiyo MINOCYCLINE The Great!

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume na Dr Matola PhD
Wewe ni Gentamycne
 
Kwa tunaomfahamu Mkono tunapatwa na maswali zaidi kuliko majibu.

Kwa mtu msomi na Wakili nguli kama Nimrod Mkono inawezekana vipi asiwe na willing ya Mali zake kwa advocate wake? Kumbuka hata Lisu ni Wakili nguli lakini ana Wakili wake.

Kuna sintofahamu nyingi sana ya maisha ya mwisho ya Mzee Mkono, otherwise mniambie basi kuna uchawi wa Gambia wameutumia mama na bintiye kumgeuza msukule Mzee Mkono.

Lakini swali linabaki, je inawezekana vipi kwa wakili nguli kama Nimrod Mkono hana willing ya Mali zake?

Brother Pascal Mayalla hebu tusaidie hapa views zako, Mimi Niko confused.
Dr hapo nilipobold unamaanisha nini?
 
Kwa tunaomfahamu Mkono tunapatwa na maswali zaidi kuliko majibu.

Kwa mtu msomi na Wakili nguli kama Nimrod Mkono inawezekana vipi asiwe na willing ya Mali zake kwa advocate wake? Kumbuka hata Lisu ni Wakili nguli lakini ana Wakili wake.

Kuna sintofahamu nyingi sana ya maisha ya mwisho ya Mzee Mkono, otherwise mniambie basi kuna uchawi wa Gambia wameutumia mama na bintiye kumgeuza msukule Mzee Mkono.

Lakini swali linabaki, je inawezekana vipi kwa wakili nguli kama Nimrod Mkono hana willing ya Mali zake?

Brother Pascal Mayalla hebu tusaidie hapa views zako, Mimi Niko confused.
Kwa taarifa za ndani kutoka kwa Mmoja wa Nduguze ( naomba nimhifadhi Jina ) alinihakikishia kuwa Mama na Mwana walimwendea Mzee ( Marehemu ) kwa Mtaalam ( Mganga ) huko Sumbawanga ili kumharibu zaidi Akili na walifanikiwa kwa Dhamira yao na aliyewapeleka huko ni aliyekuwa Mbunge mmoja Mkoa wa Watu Wabishi ( sasa si Mbunge tena ila yuko Chama kingine kama Mmiliki ) ambaye huko nyuma ndiyo alikuwa Hawara / Mpenzi mkubwa wa Leah ( Binti mkubwa wa Marehemu ) na hata 90% ya Utajiri alionao sasa ulitokana kwa kuwa Mahusiano na Leah ambaye alikuwa akichukua kwa Baba ( sasa Marehemu ) na Kumpa na pia Kumuunganisha na Baba yake katika deals zake za Kisiasa na hata Kibiashara.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
 
Ukipitia orodha ya wabunge, mbunge Mwenye herufi (EK) ambaye ni mkware and lust for money, linajitokeza jina la Elibariki Kingu
kweli jamaa ni mchafuzi
 
Kwa taarifa za ndani kutoka kwa Mmoja wa Nduguze ( naomba nimhifadhi Jina ) alinihakikishia kuwa Mama na Mwana walimwendea Mzee ( Marehemu ) kwa Mtaalam ( Mganga ) huko Sumbawanga ili kumharibu zaidi Akili na walifanikiwa kwa Dhamira yao na aliyewapeleka huko ni aliyekuwa Mbunge mmoja Mkoa wa Watu Wabishi ( sasa si Mbunge tena ila yuko Chama kingine kama Mmiliki ) ambaye huko nyuma ndiyo alikuwa Hawara / Mpenzi mkubwa wa Leah ( Binti mkubwa wa Marehemu ) na hata 90% ya Utajiri alionao sasa ulitokana kwa kuwa Mahusiano na Leah ambaye alikuwa akichukua kwa Baba ( sasa Marehemu ) na Kumpa na pia Kumuunganisha na Baba yake katika deals zake za Kisiasa na hata Kibiashara.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Duh hayo mahusiano ya ex mbunge huyo na L
Nliyajuaga kitambo,duh cmnt hii nnkionganisha dots naona kama kuna
Ka ukweli
Maana nna mwanangu mmja mtoto wa mjini wenyewe tulikuwa tunamuita
D.cheney aliruka naye sana hyu bi dada
Aise mwanangu pole sana na msiba

Ova
 
Nimekomaa nasoma kwa umakini kumbe ni wewe Gentamycine ndio umeandika hapa? Huyo binti Leah licha ya kuwa mke wa mbunge ana nguvu gani nyingine kiasi che kuweza kuwaweka wakubwa wa serikali,ndugu zake na vyombo vya dola mfukoni? Huyo Leah ni nani haswa aweze kupanga mambo makubwa hivi dhidi ya baba ake katika dunia hii ya utandawazi na akakosa mtu wa kumchallange?
Siko hapa kujibu Upuuzi uliouliza na nimekuandikia kile ambacho kwa 100% nakijua kuhusu hiyo Familia na Marehemu Mwenyewe.

Halafu hakuna mahala nimekulazimisha Uamini nilichokiandika na kwa Taarifa yako hilo Gazeti nililoliandika hapo ni 45% ya yaliyomo na 55% nimeziacha Kwanza.

Mwisho Mimi siyo Gentamycine bali Mimi ni Minocycline sawa? Nina PhD ya kuijua Familia ya Marehemu na Maisha yao yote.

Nimemaliza.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
 
Duh hayo mahusiano ya ex mbunge huyo na L
Nliyajuaga kitambo,duh cmnt hii nnkionganisha dots naona kama kuna
Ka ukweli
Maana nna mwanangu mmja mtoto wa mjini wenyewe tulikuwa tunamuita
D.cheney aliruka naye sana hyu bi dada
Aise mwanangu pole sana na msiba

Ova
Na ndiyo maana kwa Kujiamini kabisa nawaambia Hawa akina Dr Matola PhD na clinician wasioamini ninayoyaandika hapa kuwa MINOCYCLINE nina PhD ya Kuijua ndani nje Familia ya Marehemu, Maisha yao, yaliyojiri na ambayo nina uhakika baada ya Maziko yake yatajiri.

Mimi ndiyo MINOCYCLINE The Great!

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
 
Inategemea kwako maendeleo ni nini?

Wengine mkipewa ubwabwa na kofia ni maendeleo tosha kabisa.

Mkono ameongoza jimbo la Musoma vijijini na baadaye likazaliwa jimbo jipya la Butiama Mkono akabaki Butiama Profesa Sospeter Muhongo akachukuwa Musoma vijijini.

Sasa majimbo yote haya mawili wakazi wake ni wakulima na wafugaji, je unayaelewa mahitaji yao ni nini? Je Mkono alifanya au hakufanya?

Njoo kwa takwimu nione kama una akili, usidhani maendeleo ni maukumbi ya disko na mahotel ya kisiasa, hiyo siyo kazi ya mbunge, hilo ni jukumu la wazawa kuwekeza kwao.

Na ukitafuta tatizo la Wazanaki kutowekeza kwao source ni Nyerere hakupenda maendeleo na hakutaka asili ya vijiji ibadirike lakini yeye Butiama alijenga ghorofa siku nyingi tu Mwitongo.

Na hapa ndipo kwenye source kwa nini mbuga ya Serengeti ipo mkoa wa Mara zaidi lakini manufaa makubwa wananufaika Arusha.

Hawa watu maarufu unaowasikia, Wassira, Warioba, Butiku, Musuguri na wengine wengi wote wana nyumba tu za kawaida za makazi maeneo yao mkoani Mara, Hakuna hata mmoja aliyewekeza chochote wote waliufyata kwa Nyerere wakaishi maisha ya kawaida.
Precisely.
 
Duh hayo mahusiano ya ex mbunge huyo na L
Nliyajuaga kitambo,duh cmnt hii nnkionganisha dots naona kama kuna
Ka ukweli
Maana nna mwanangu mmja mtoto wa mjini wenyewe tulikuwa tunamuita
D.cheney aliruka naye sana hyu bi dada
Aise mwanangu pole sana na msiba

Ova
Hakununuliwa Gari dogo na Kujengwa na Leah? Nijuavyo 85% ya Vijana ( Wanaume ) waliobahatika Kutambaa nae na Chaki Kitandani ( kama Kibu Denis na Jesus Moloko ) na Kumfikisha Kilele cha Milima ya Kwao Busegwe walinunuliwa Magari na ama kujengewa Nyumba au Kununuliwa Viwanja.
 
Back
Top Bottom