TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

Mwami Ruyangwa.😀😀
 
Hahaha kabisa hujakosea
Vijana wamekula sana pesa zake
Tena vijana wanavyopenda slope
Sema ndy hivyo, alikuwa Ana hangaika
Sana na mahusiano na kutafuta kidy
Ila nlikuwa namuonaga smart sana +Ana roho ya kiuadamu

Ova
 
Hahaha kabisa hujakosea
Vijana wamekula sana pesa zake
Tena vijana wanavyopenda slope
Sema ndy hivyo, alikuwa Ana hangaika
Sana na mahusiano na kutafuta kidy
Ila nlikuwa namuonaga smart sana +Ana roho ya kiuadamu

Ova
Leah ni Dada yangu hivyo naujua Udhaifu wake. Amebeba lawama zote kutokana na Kiburi, Dharau na Ujeuri wake uliotokana na Kulelewa vibaya Mama yake ambaye ukimsikia akiwa anaongea kwa Upole na Utaratibu utadhani Malaika kutoka Mbinguni kwa Mwenyezi Mungu kumbe ni Mtu Katili na mwenye Roho Mbaya kuwahi kutokea.

Wasukuma ( Wanaume na Wanawake ) ni Watu Wakarimu na nimeishi nao ila mpaka leo najiuliza Mama Leah ( Mjane wa Marehemu Mzee Mkono ) ni Msukuma wa wapi na hiyo Roho Mbaya yake iliyojaa Ukatili na Unafiki kaitoa wapi?

Cc: Dr Matola PhD na Bujibuji Simba Nyamaume
 
Wa Kulia mwenye Macho yaliyolegea kuliko Mwenzake. Binti Kamtesa mno Baba yake ( Marehemu Mzee Mkono ) na Mwili ukiwasili nikimuona Analia naweza hata Kumzaba Kibao au Kumtolea maneno Makali.

Katukwaza wengi tuliompenda na kumheshimu sana Marehemu Baba yake ( Mzee Mkono) aliyekuwa ni Mtu wa Watu sana na hakuwa na baya.
 
Kama mwanamke ni Msukuma basi hao ni mabingwa wa ndumba kama lile shuntama limbwata la kihaya.

No wonder Wakili msomi bingwa na mbobezi kageuzwa katuni na hii takataka.

Tena huyo mama kama ni Msukuma wa Maswa ndio hatari danger kabisa ni wachawi kwelikweli.
 
Mwana msibani unaenda utuwakilishe?

Msiba umenikumbusha mbali sana enzi za utoto.

Mama Mkono alikuwa anazuka sana home Obay na lile Benzi la chocolate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…