Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tena kiko imara mno ! nimegundua kwamba Chama kikiungwa mkono na wananchi hakiwezi kufaChama chetu cha CHADEMA bado kipo imara pamoja na njama zote za kisiasa na zisizo cha kisiasa toka mtaa wa Lumamba.
Hakika .' Mazungumzo mazito ya mustakbali wa Taifa…'
Ha haaa we jamaa una dhambi sana moja ya dhambi zako ni kukomenti ulozi kwa post za watu.....Tuletee Bia Yetu mkuu...Kiki tu ndio zilizobaki Chadema!
Ila Sugu alitumia vizuri mafao yake vinginevyo Erythrocyte angekuwa hana kibarua!
Pumbavu zako rafiki, nyie mmesimama kwa nguvu ya polisi, TISS, Kaijage, Mahela and many other gov machineries. Short of that you would be dead as KANU by nowKiki tu ndio zilizobaki Chadema!
Ila Sugu alitumia vizuri mafao yake vinginevyo Erythrocyte angekuwa hana kibarua!
Hahahaaaa...... Siasa ni sayansi bwashee ndio maana Chadema imesimama na shehe Ponda na yule Mwamakula!Pumbavu zako rafiki, nyie mmesimama kwa nguvu ya polisi, TISS, Kaijage, Mahela and many other gov machineries. Short of that you would be dead as KANU by now
Mabango ya Mwendazake hadi leo hamjayatoa mnasubiri nini ?Hiyo picha ya Mnyika hapo Ukutani mbona kubwa sana halafu iko kwenye pembe tatu ??
Ina maana yeye ndio kiongozi wa Nchi??
Chadema hamfuati sheria za nchi kabisa,
Kwanini mnakua wakorofi namna hii lakini??
Hao wana mazungumzo gani yenye mustakabali wa Taifa hili?' Mazungumzo mazito ya mustakbali wa Taifa…'
Picha ya mwenyekiti mtarajiwa wa CCM kwenye ofisi ya Chadema ikatafute nini?Hiyo picha ya Mnyika hapo Ukutani mbona kubwa sana halafu iko kwenye pembe tatu ??
Ina maana yeye ndio kiongozi wa Nchi??
Chadema hamfuati sheria za nchi kabisa,
Kwanini mnakua wakorofi namna hii lakini??
Wivu wa Kichawi hautakuondolea umasikini wako ulioletwa na JiweHao wana mazungumzo gani yenye mustakabali wa Taifa hili?
Taifa la Watu milioni 60 mustakabali wake ujadiliwe na Mnyika?
Acheni masihara.
Kumbe Erythrocyte ndio dreva wa Sugu.Kiki tu ndio zilizobaki Chadema!
Ila Sugu alitumia vizuri mafao yake vinginevyo Erythrocyte angekuwa hana kibarua!
Bora wangeweka picha ya mwenyekiti. Picha ya mnyika inafanya hapo? Ama kweli babu Duni alisema kweli, "Huko kila mtu kambale".Hiyo picha ya Mnyika hapo Ukutani mbona kubwa sana halafu iko kwenye pembe tatu ??
Ina maana yeye ndio kiongozi wa Nchi?
hivi kuna tajiri anayeweza kuwa dereva wa mtu?Kumbe Erythrocyte ndio dreva wa Sugu.
Yuko mapokezi pale Desderia!Kumbe Erythrocyte ndio dreva wa Sugu.