Hivi hawa wenyeviti wa mtaa si wale ambao hawakupigiwaga kura?
Hawa hatawasipofanya kazi hakuna wa kuwalaumu kwani hakuna aliyewachagua zaidi ya Marehemu.
Mbunge wa hili jimbo ninaloishi alikuwa anafanyafanya vikao/ kwenye kata jimboni kwake na kuna mshkaji namfahamu alikuwa kama mwandishi wake wa kumsaidia kurusha habari zake mitandaoni alikuwa ananipa ratiba za mikutano na ishu zilizokuwa zinajadiliwa Kwenye hiyo mikutano jamaa alikuwa analipwa laki2 Kwa mwezi.
Sasa tokea huyo mbunge kuteuliwa kuwa waziri na samia Kwenye mabadiliko aliyofanya hajaonekana wala simsikii tena kwenye kata na yule mshkaji wangu aliyekuwa msaidizi wake kazi na mbunge hamna yupo anapiga ishu nyingine za uandishi wa habari binafsi