Mbunge Zuena Bushiri CCM Viti Maalum Kilimanjaro ashindwa kujibu maswali ya Mkataba wa DP world na Serikali kwenye mkutano wa UWT

Mbunge Zuena Bushiri CCM Viti Maalum Kilimanjaro ashindwa kujibu maswali ya Mkataba wa DP world na Serikali kwenye mkutano wa UWT

Kuna kundi la Wabunge wanawake wanapita wakiitisha mikutano ya UWT kule Kilimanjaro.

Changamoto inayowapata ni kubwa na wanaonewa huruma.
Wanachapwa maswali na wanashindwa kujibu.

Kwa hali hii CCM ijitafakari na inatumie mbinu Chagua na nyingi ila kufanikiwa ni ziro.

Jana tarehe 30.7.2023 Akiwa Kata ya Karanga ,Moshi Mjini, Kilimanjaro Mbunge tajwa hapo Juu aliaibika baada ya kuulizwa maswali na akina mama kuwa :

1. Swali la kwanza : Kwanini mkataba umewabagua wenzetu wa zanzibar?

Jibu: DP world anazijua bandari Za Mombasa na Dar tu.

2. Swali la pili: Aliulizwa je huu ulio sainiwa na Rais na bunge ni mkataba au ni makubaliano?

Jibu: Ni mazungumzo tu.

Kwa hali hii, ninaishauri CCM ijitafakari kipindi cha ndiyo mzee kilishapita.

Baada ya kuona maswali yanamzidi nguvu alikimbia mkutano Akiwaacha wamama kikaoni bila kuwapa nauli ya kurudi makwao ila waliambulia soda moja moja fedha ambazo hazijulikani atazirejeshaje au alitumwa na nani.

Mbunge Zuena ameonyesha hana Hata uwezo wa kuwa mbunge licha ya kuzungumzia mkataba.

Hata lugha ya malkia iliyotumika kuandaa mkataba huo Mbunge Huyo ameshindwa kuisoma.

Ni aibu kwa Kweli.

HAYO NDIYO MATOKEA YA KUBURUZWA. WANAAMBIWA WAKAUTETEE MKATABA AMBAO PIA HAWAUJUI
 
Back
Top Bottom