Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli,akishaperform tunagooDiamond ana perform kwny mida ya saa ngapi tuibuke hapo mkuu?
Hahahaha mkuu una vijimaneno vinachoma roho mimi sio kijani lakini umeniumizaKwa Lisu watu walivumilia mvua tuone na kwa dikteta kama watavumilia
Leta picha za mkutanoniLaana au baraka ndugu. Joto lilikuwa linatuua. Tumshukuru mungu kwa neema hii. Nipo kioski Ya jirani nakunywa soda. Kweli watu wameamua kwani hawakimbii mvua hii kali.
Tetetete mkuuhahahaha mkuu unavijimaneno vinachoma roho mimi sio kijani lakini umeniumiza
Naunga mkono hoja yako kwa 100%Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......
Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........
Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!
Shida tayari ameshapita daah tutakuwa kwenye lock up ya Corona mitano kweli? Mungu akiamua ndiyo basi tenaEe, Mungu Baba, tunakuomba Mh. JPM kipenzi cha watanzania wachapa kazi ashinde kwa kishindo, 98.3% zinatosha tu Baba. Leo binadamu wenzetu wa Uingereza wametangaziwa "karantini" nyingine mpya maana ugonjwa wa corona umeongeza speed hadi 200 km/h kwenye kona, na hapa Tanzania kuna mgombea ambaye kila kitu anacopy na kupaste kutoka kwao, Mungu baba ukimpitisha ndio hivyo basi tunafungiwa ndani kwa matakwa ya mabwana zake akina Amstredam. Ameen!
Bahati mbaya siyo pesa binafsi za CCM ni pesa za walipa kodi ndizo zimejenga ndiyo maana watu hawataki kusikia kuwa CCM ndiyo wamejengaCCM kwa maflyover mlizojenga Dar hamkutakiwa kabisa kupiga kampeni mngekaa tu kusubiri kura
Hakuna mungu ataipokea sala ya kibwege kama hii hata shetani unayeshinda nae ukivuta Bangi hapo gheto ataikataa hiyo sala ya kishamba na haramuEe, Mungu Baba, tunakuomba Mh. JPM kipenzi cha watanzania wachapa kazi ashinde kwa kishindo, 98.3% zinatosha tu Baba. Leo binadamu wenzetu wa Uingereza wametangaziwa "karantini" nyingine mpya maana ugonjwa wa corona umeongeza speed hadi 200 km/h kwenye kona, na hapa Tanzania kuna mgombea ambaye kila kitu anacopy na kupaste kutoka kwao, Mungu baba ukimpitisha ndio hivyo basi tunafungiwa ndani kwa matakwa ya mabwana zake akina Amstredam. Ameen!
Ndicho kitafuata maana hachelewi kumwambia katumwa na mabeberu kuleta mvuaLeo sidhani km kutakuwa na kampeni. Labda Bosi wa TMA atishiwe kutumbuliwa asipoiondoa hii mvua.
Mtukufu Magufuli na Polepole watasema mvua imetumwa na mabeberu tulia kwanza uone wanaongea niniKumbe yupo Kinondoni.!!!!..ratiba ya Fiesta inaanza muda gani!? ili wajuba tujisogeze mdogo mdogo..!
Mkuu diamond atapanda saa ngapi leo ataperform wimbo wa jeje niibuke?Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......
Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........
Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!