Uchaguzi 2020 Mburahati, Dar: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Mburahati, Dar: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. Magufuli

Mvua ni baraka haijawahi kuwa laana ndo maana karne kwa karne kuna maombi maalumu ya kuita mvua.
Hiyo kampeni imepata "laana" ya mvua inayonyesha mfululizo siku ya Leo......

Kama alivyowaambia wahanga wa tetemeko kule Bukoba, kuwa serikali yake haijaleta tetemeko........

Awe mpole tu kwa kuwa mvua hii inayoendelea hadi hivi sasa, kwa kuwa nayo haijaletwa na CHADEMA!
 
Lini atakwenda kusini maana Napo wanatamani fiesta live
 
Screenshot_20201013-123657.png
 
Kila akifanya kampeni kwenye majimbo ya upinzani anadai wamemchelewesha kupeleka maendeleo.

Swali: Majimbo mengi yaliongozwa na CCM kuanzia udiwani hadi rais na yana umaskini wa kutupwa mfa Kongwa, Rorya, Chemba, Newala, Chato [ukiondoa ule uwanja wa kimataifa watu ni maskini wa kutupwa).

Haya, nani alimchelewesha?
 
Back
Top Bottom