Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Polepole kichwa kinamuuma maana kapewa pesa nyingi sana za kuihujumu kuidhoofisha chadema lakini mungu anawalinda hujuma zinadunda na yeye pesa anaipenda
Watu wapo wakutosha. Jamaa anapendwa sana aisee.si wana ubia na waganga wajadi nchini sana wale walimtishia Membe asichukue fomu yakuchuana na Magu wazee wa Bariadi na Gamboshi ...kama vipi basi wawabipu ili wakate mvua.
OK.......................................ignoredWatu wapo wakutosha. Jamaa anapendwa sana aisee.
Hap waliobaki ni wale wahamasishaji ambao huzunguka kila mkutano , hawawezi kuondokaWatu wapo wakutosha. Jamaa anapendwa sana aisee.
Sherehe ya kigodoro imedodaLaana au baraka ndugu. Joto lilikuwa linatuua. Tumshukuru mungu kwa neema hii. Nipo kioski Ya jirani nakunywa soda. Kweli watu wameamua kwani hawakimbii mvua hii kali.
Ushakula hela na jezi umevalishwa utaondokaje?Licha ya mvua kubwa, watu tupo hapa viwanja vya barafu (Kigogo Mburahati).
#JPM5TENA
UFIPA.Ushakula hela na jezi umevalishwa utaondokaje?
Wamekunywa mvua, wamekuwa weupeMkutano wa Leo siwaoni kabisa Wanawake Weusi sijui wameenda wapi!
Watanzania makini tunampiga kura Rais Mzalendo JPM.Ee, Mungu Baba, tunakuomba Mh. JPM kipenzi cha watanzania wachapa kazi ashinde kwa kishindo, 98.3% zinatosha tu Baba.
Leo binadamu wenzetu wa Uingereza wametangaziwa "karantini" nyingine mpya maana ugonjwa wa corona umeongeza speed hadi 200 km/h kwenye kona, na hapa Tanzania kuna mgombea ambaye kila kitu anacopy na kupaste kutoka kwao, Mungu baba ukimpitisha ndio hivyo basi tunafungiwa ndani kwa matakwa ya mabwana zake akina Amstredam.
Ameen!
Sasa mimi ni CCM mwenzakoUFIPA.
Hao majobless mnaowakusanya kutoka maeneo yote ya Dar mkiwapa T-shirt na posho ??? Unadhani hatujui kuwa baada ya iyo mikutano wanakutana kwenye majengo ya CCM na kupewa posho??Watu wapo wakutosha. Jamaa anapendwa sana aisee.
TRAITORSasa mimi ni CCM mwenzako
Hapana mimi sio traitor ila wewe mwenzangu umesahau maana ya UzalendoTRAITOR