Uchaguzi 2020 Mburahati, Dar: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. Magufuli

Mvua ni baraka haijawahi kuwa laana ndo maana karne kwa karne kuna maombi maalumu ya kuita mvua.
 
Lini atakwenda kusini maana Napo wanatamani fiesta live
 
Kila akifanya kampeni kwenye majimbo ya upinzani anadai wamemchelewesha kupeleka maendeleo.

Swali: Majimbo mengi yaliongozwa na CCM kuanzia udiwani hadi rais na yana umaskini wa kutupwa mfa Kongwa, Rorya, Chemba, Newala, Chato [ukiondoa ule uwanja wa kimataifa watu ni maskini wa kutupwa).

Haya, nani alimchelewesha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…