Mbuta Nanga ni balaa

Duh...pole za kutosha ziwaendee nduguze
 
Nakumbuka alifanyiwa interview na Mboni Masimba na alijibu vizuri sana yani kama humjui usingeweza kudhani kama anajitoaga ufahamu kiasi hiki. Yaani me nachekaga tu jamani anavyomchambaga Le Mutuz, sijui wana ugomvi gani jamani coz Le mutuz anaweza tu akaweka picha, basi flora ataiweka kwenye blog yake na atashusha hiyo michambo hahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mbuta Nanga anaongeza visitors tu kwa blog yake ni kama style anayotumia Le big show.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…