INAUZWA Mbuzi wakubwa na kondoo wanauzwa kwa bei nafuu weka oda yako tukufikishie ulipo

INAUZWA Mbuzi wakubwa na kondoo wanauzwa kwa bei nafuu weka oda yako tukufikishie ulipo

Ufahamu na uelewa kwa watu unatofautiana sana.
 
Mbuzi wapo wa ukubwa tofauti na kila siku tunashusha mzigo mpya fika shamba uweze kujua bei. Karibuni sana
 
Mbuzi wapo wa ukubwa tofauti na kila siku tunashusha mzigo mpya fika shamba uweze kujua bei. Karibuni sana
Kama kweli unauza mbuzi/kondoo hapa jukwaani hauna budi kutoa picha ya bei ndipo watu watakuelewa. Unaweza kusema kuanzia shilingi kadhaa kwa mbuzi mdogo hadi shilingi kadhaa kwa mbuzi wakubwa n.k..

Nimeona nikusaidie ufafanuzi kama haujawaelewa watoa comments
 
Kama kweli unauza mbuzi/kondoo hapa jukwaani hauna budi kutoa picha ya bei ndipo watu watakuelewa. Unaweza kusema kuanzia shilingi kadhaa kwa mbuzi mdogo hadi shilingi kadhaa kwa mbuzi wakubwa n.k..

Nimeona nikusaidie ufafanuzi kama haujawaelewa watoa comments
Ili kama mtu akifunga safari awe anajua anachoenda kufanya na sio blah blah
 
Weka na Picha ya Kondoo naona umeweka ya Mee tu
 
Mbuzi wapo wa ukubwa tofauti na kila siku tunashusha mzigo mpya fika shamba uweze kujua bei. Karibuni sana
Yaani kushambuliwa kite huko bado umekomaa ,kimsingintangazo lako hapa limefali Kwa.kiwango Cha kuridhisha!
 
Unawatoa wapi? Bunju Gani,Nije...
Hawezi Kusema, Hatasema Kamwe
Kuna Member Humu Alisema Anauza Bata Wa Mayai
Nikamuuliza Upo Wapi, Akajibu Iringa Jirani Na NMB Bank
Bei Ya Kuuza Hajasema Kaweka Number Yake!!!


Chap Kumbe Nami Nipo Iringa Nikaenda Jirani Na Bank Nikampigia Akapokea Nikamwambia Biashara Vp Ya Bata Wa Mayai Akaanza Kuweweseka Na Kubadili Upepo Tena Eti Yupo Makete Stendi



Kule Makete Nina Jamaa Yangu Nikampa Number Amtafute
Akawa Hapokei Simu Kila Ikipigwa
Jamaa Alikuwa Ni Mwizi Hana Bata Anangoja Ujichanganye Utume Cash Uone Vumbi Tu Likitimka
 
Back
Top Bottom