[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu nimnunulie na kitenesi cha kuchezea?
Kwa mwanao unaweza kuwa na stah, vip kama uko na wife alafu mko garden? Hahaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho yake lazima akurudishe kwa Muumba wako[emoji23][emoji23][emoji23] na usioneshe mahaba kwa mwanao mbele yake mbwa gani sasa uyu
Hayo ni mateso[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu niishi kwa masharti magumu kiasi hicho eti kisa wana wivu! Kwani mbwa wa kufuga wameisha mpaka nikafuge wao
Mkuu wewe ukipewa ugolo unaweza ruka kiunzi?Mbwa dawa yake ugolo tu hapo ndipo huwa nawadharau wanaojivunia kufuga mbwa
Hao wanatumia macho kukutambua, sasa wewe njoo na suti ambayo hawajahi kuionaSi ndo hapo sasa...huu ni mfugo au kisanga?
Kwa maelezo ya jamaa hapo juu inaonekana hivi viumbe si vya kufuga Ila binadamu wamelazimisha....eti ukichelewa kuwafungulia vaa nguo walizozoea wakati mi najua Mbwa hutambua Kwa harufu...kuna kitu hakipo sawa hapa.
Sasa sisi wazee wa kula tungi tukitoka kazini na home mpaka mida ya wanga si watatuwaisha ahera siku si zetuKabisa na hata muda wa kucheza nae lazima uwe nao.
Kuna jamaa yangu alinunua hao viumbe watatu lakini wakamshinda, chakula alikua anawapa cha kutosha tena vile special vya supermarket lakini kila akiamka asubuhi lazma akute uharibifu haswa kwenye magari yake, mara akute wameng'oa taa, mara bampa wameitafuna, mara tairi wametobia kwa meno, mpaka akaamua kuwauza, isje kua ndio hao.
Et nikimshka wife mbwa ananichimba mkwara "WOOO..WOOOO"..namwmbia "ACHA UFARA, AU NIKUTIE WEWE?? FARA NN WEE MBWA"Kwa mwanao unaweza kuwa na stah, vip kama uko na wife alafu mko garden? Hahaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho yake lazima akurudishe kwa Muumba wako
Hapo jua ukienda kuwafungila ndiyo hivyo utarudisha nambaEt nikimshka wife mbwa ananichimba mkwara "WOOO..WOOOO"..namwmbia "ACHA UFARA, AU NIKUTIE WEWE?? FARA NN WEE MBWA"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna kugusana mnakuwa kama mtu na dada yake, kisa mbwa duu ataona wivu!Et nikimshka wife mbwa ananichimba mkwara "WOOO..WOOOO"..namwmbia "ACHA UFARA, AU NIKUTIE WEWE?? FARA NN WEE MBWA"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tuendelee kufuga hawa hawa kina bobi, wik end tunaenda nao mtoni kusaka kenge
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu nimnunulie na kitenesi cha kuchezea?
Ikiwa umesoma mstari mmoja hutonielewa nimekwambia ikiwa umechelewa kuwafungulia na endapo hawana actvities huwa wanakuwa aggressive, hivo unapoenda kuwafungulia usiku na endapo ule muda wa kawaida umechelewa vaa nguo walizozizoea na usijipake manukato kama unabisha endelea kubisha mimi nawajua hawa mbwa kwa uzoefu kwa sababu nawafuga kwa miaka kadhaa ninauzoefu nao. jiulize inakuwaje wanamshambulia mbwa mwenzao ambaye kila siku wanakuwa pamoja? ni ipi harufu ambayo walipaswa kuizoea zaidi kati ya mbwa mwenzao na ya kwako? chukuwa tahadhari kama huwezi kuendana na hawa mbwa usijaribu kuwafuga. mimi mtu akija kununua mbwa kwangu namweleza kabisa.Si ndo hapo sasa...huu ni mfugo au kisanga?
Kwa maelezo ya jamaa hapo juu inaonekana hivi viumbe si vya kufuga Ila binadamu wamelazimisha....eti ukichelewa kuwafungulia vaa nguo walizozoea wakati mi najua Mbwa hutambua Kwa harufu...kuna kitu hakipo sawa hapa.
Haha.. Nilimwambia ukifuga hao viumbe bas uhakikishe una mguu wa kuku kiunoni, siku wakikubadirikia aweze kujiteteaEbo, haya ni majini mnafuga
Ukichelewa kurudi home lazima akurarue.Kabisa na hata muda wa kucheza nae lazima uwe nao.