Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

Yani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu nimnunulie na kitenesi cha kuchezea?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu niishi kwa masharti magumu kiasi hicho eti kisa wana wivu! Kwani mbwa wa kufuga wameisha mpaka nikafuge wao
 
Hao wanatumia macho kukutambua, sasa wewe njoo na suti ambayo hawajahi kuiona
 

Ebo, haya ni majini mnafuga
 
Ikiwa umesoma mstari mmoja hutonielewa nimekwambia ikiwa umechelewa kuwafungulia na endapo hawana actvities huwa wanakuwa aggressive, hivo unapoenda kuwafungulia usiku na endapo ule muda wa kawaida umechelewa vaa nguo walizozizoea na usijipake manukato kama unabisha endelea kubisha mimi nawajua hawa mbwa kwa uzoefu kwa sababu nawafuga kwa miaka kadhaa ninauzoefu nao. jiulize inakuwaje wanamshambulia mbwa mwenzao ambaye kila siku wanakuwa pamoja? ni ipi harufu ambayo walipaswa kuizoea zaidi kati ya mbwa mwenzao na ya kwako? chukuwa tahadhari kama huwezi kuendana na hawa mbwa usijaribu kuwafuga. mimi mtu akija kununua mbwa kwangu namweleza kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…