Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤨😳😳 situmiagi😎Nikupe mbwa?
kwahiyo 🙄
Nikupe mbwa?
Lol🤨😳😳 situmiagi😎
Afu kuna nini,mbona hiz siku mbilitatu vijana wa kiume mnanjadili sana mbwa...kuna nini nyuma ya pazia mkuu,?Wekeni hadharani
🐒😳..wee,sema kweliMbwa kafira mtu huko majuzi
AminaMbwa hafanyi mapenzi kama burudani hivyo kwenye suala la uhuni mtoe kabisa. Mbwa hufanywa mapenzi tuu kwa lengo la kuzaliana na mpaka mwenzake awe kwenye heat.
Kitendo Cha kufanya mapenzi popote, wao hawakutenda dhambi kama binaadamu hivyo aibu na kufichua uchi hawana, ndio maana wanatembea uchi lakini wewe binaadamu unamwona kapendeza kama kavaa nguo na Wala huwezi kugfikiria kuwa yupo uchi na utamshikashika bila shida yoyote.
Binaadamu tilipewa adhabu baada ya kumkosea Mungu ndio maana tunavaa nguo kufichua uchi na kufanya tendo mapenzi kifichoni. Haikuwa mpango wa Mungu Bali hayo yote yalikuja kama adhabu baada ya kumkosea Mungu.
Hivyo wanyama Wana nafasi kubwa mbele ya Mungu ijapokuwa binaadamu tunajiona ni Bora zaidi , tunawapiga, tunawatumikisha, tunawachinja, saa nyingine tunaowaita Haramu wakati haramu ni sisi tuliopewa adhabu na Mungu
Mara nyingi huwa mnatufananisha na hao viumbe ndo maana tumeamua kuwajadili.Tumekubali hao mbwa Ni wenzetu.Afu kuna nini,mbona hiz siku mbilitatu vijana wa kiume mnanjadili sana mbwa...kuna nini nyuma ya pazia mkuu,?
umenena vyemaMbwa hafanyi mapenzi kama burudani hivyo kwenye suala la uhuni mtoe kabisa. Mbwa hufanywa mapenzi tuu kwa lengo la kuzaliana na mpaka mwenzake awe kwenye heat.
Kitendo Cha kufanya mapenzi popote, wao hawakutenda dhambi kama binaadamu hivyo aibu na kufichua uchi hawana, ndio maana wanatembea uchi lakini wewe binaadamu unamwona kapendeza kama kavaa nguo na Wala huwezi kugfikiria kuwa yupo uchi na utamshikashika bila shida yoyote.
Binaadamu tilipewa adhabu baada ya kumkosea Mungu ndio maana tunavaa nguo kufichua uchi na kufanya tendo mapenzi kifichoni. Haikuwa mpango wa Mungu Bali hayo yote yalikuja kama adhabu baada ya kumkosea Mungu.
Hivyo wanyama Wana nafasi kubwa mbele ya Mungu ijapokuwa binaadamu tunajiona ni Bora zaidi , tunawapiga, tunawatumikisha, tunawachinja, saa nyingine tunaowaita Haramu wakati haramu ni sisi tuliopewa adhabu na Mungu
Mnhuu,inaogopesha aisee, isije kuwa mshaanza kupenda papuchi za mbwa zilivyotuna vile...mtakuwa mmeamua kutukomoa wanawake...kuolewa byebyeMara nyingi huwa mnatufananisha na hao viumbe ndo maana tumeamua kuwajadili.Tumekubali hao mbwa Ni wenzetu.
No!!We can't go that far, tutakomaa tu na nyie hata Kama mnatupiga matukio kila sikuMnhuu,inaogopesha aisee, isije kuwa mshaanza kupenda papuchi za mbwa zilivyotuna vile...mtakuwa mmeamua kutukomoa wanawake...kuolewa byebye
Yeap!👊No!!We can't go that far, tutakomaa tu na nyie hata Kama mnatupiga matukio kila siku