Mbwa mnyama mhuni sana kwenye ngono

Mbwa mnyama mhuni sana kwenye ngono

Mbwa wahuni sana kwenye mapenzi kuliko wanyama wengine, mbwa haoni aibu kungonoka mbele za watu tofauti na paka yeye huenda mafichoni
Paka akizidiwa haibu anaweka pembeni, hujawahi ona paka wa Bar au mtaani wanabakana mbele za watu?
 
Mbwa hafanyi mapenzi kama burudani hivyo kwenye suala la uhuni mtoe kabisa. Mbwa hufanywa mapenzi tuu kwa lengo la kuzaliana na mpaka mwenzake awe kwenye heat.

Kitendo Cha kufanya mapenzi popote, wao hawakutenda dhambi kama binaadamu hivyo aibu na kufichua uchi hawana, ndio maana wanatembea uchi lakini wewe binaadamu unamwona kapendeza kama kavaa nguo na Wala huwezi kugfikiria kuwa yupo uchi na utamshikashika bila shida yoyote.

Ukiona mbwa anafanya mapenzi hovyo hovyo na viumbe wengine na hata binaadamu, ujue kafundishwa na kulelewa vibaya na wanaomtunza na hivyo kubadili tabia yake ya asili

Binaadamu tilipewa adhabu baada ya kumkosea Mungu ndio maana tunavaa nguo kufichua uchi na kufanya tendo mapenzi kifichoni. Haikuwa mpango wa Mungu Bali hayo yote yalikuja kama adhabu baada ya kumkosea Mungu.

Hivyo wanyama Wana nafasi kubwa mbele ya Mungu ijapokuwa binaadamu tunajiona ni Bora zaidi , tunawapiga, tunawatumikisha, tunawachinja, saa nyingine tunaowaita Haramu wakati haramu ni sisi tuliopewa adhabu na Mungu
Huyu Mungu ulumkosea wapi?
 
Mbwa hafanyi mapenzi kama burudani hivyo kwenye suala la uhuni mtoe kabisa. Mbwa hufanywa mapenzi tuu kwa lengo la kuzaliana na mpaka mwenzake awe kwenye heat.

Kitendo Cha kufanya mapenzi popote, wao hawakutenda dhambi kama binaadamu hivyo aibu na kufichua uchi hawana, ndio maana wanatembea uchi lakini wewe binaadamu unamwona kapendeza kama kavaa nguo na Wala huwezi kugfikiria kuwa yupo uchi na utamshikashika bila shida yoyote.

Ukiona mbwa anafanya mapenzi hovyo hovyo na viumbe wengine na hata binaadamu, ujue kafundishwa na kulelewa vibaya na wanaomtunza na hivyo kubadili tabia yake ya asili

Binaadamu tilipewa adhabu baada ya kumkosea Mungu ndio maana tunavaa nguo kufichua uchi na kufanya tendo mapenzi kifichoni. Haikuwa mpango wa Mungu Bali hayo yote yalikuja kama adhabu baada ya kumkosea Mungu.

Hivyo wanyama Wana nafasi kubwa mbele ya Mungu ijapokuwa binaadamu tunajiona ni Bora zaidi , tunawapiga, tunawatumikisha, tunawachinja, saa nyingine tunaowaita Haramu wakati haramu ni sisi tuliopewa adhabu na Mungu
Tatizo lenu Watanzania udini mwingi mahubiri kila kona, tushachokaga na mahubiri yenu, Tanzania bila Dini Inawezekana
 
Ndiyo maana wameitwa wanyama, sababu ya unyama...
 
Paka akizidiwa haibu anaweka pembeni, hujawahi ona paka wa Bar au mtaani wanabakana mbele za watu?
Paka wanafanya mapenzi zaidi ya binadamu, hadi style wanawekanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Paka jike anaulilia balaaa, nilisha wahi shuhudia, japo wanasema ni mkosi.
 
Paka wanafanya mapenzi zaidi ya binadamu, hadi style wanawekanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Paka jike anaulilia balaaa, nilisha wahi shuhudia, japo wanasema ni mkosi.
Mamaa cocastic umeongea ukweli ila hili suala la eti ukiona paka wanafilana ni mkosi ni uwongo mtupu ni sawa tu na baadhi ya watu waliodanganywa kuwa kula nguruwe ni haram lakini bado wanakula na hawajafa na mpaka hapa JF wapo wanakuja changia mada. Paka wetu anazaa karibu kila miezi 3 au 4 na muda wa kutiana yeye mwenyewe alivyo mwehu analeta waume zake toka huko mitaa ya Uswahilini anakuja kubakwa chini ya dirisha langu huku ukisikia anaguna kuashiria kuwa ana enjoy. Nimemshuhudia mara kibao na sioni mkosi wangu.
 
Back
Top Bottom