Mbwa mnyama mhuni sana kwenye ngono

Mbwa hafanyi mapenzi kama burudani hivyo kwenye suala la uhuni mtoe kabisa. Mbwa hufanywa mapenzi tuu kwa lengo la kuzaliana na mpaka mwenzake awe kwenye heat.

Kitendo Cha kufanya mapenzi popote, wao hawakutenda dhambi kama binaadamu hivyo aibu na kufichua uchi hawana, ndio maana wanatembea uchi lakini wewe binaadamu unamwona kapendeza kama kavaa nguo na Wala huwezi kugfikiria kuwa yupo uchi na utamshikashika bila shida yoyote.

Ukiona mbwa anafanya mapenzi hovyo hovyo na viumbe wengine na hata binaadamu, ujue kafundishwa na kulelewa vibaya na wanaomtunza na hivyo kubadili tabia yake ya asili

Binaadamu tilipewa adhabu baada ya kumkosea Mungu ndio maana tunavaa nguo kufichua uchi na kufanya tendo mapenzi kifichoni. Haikuwa mpango wa Mungu Bali hayo yote yalikuja kama adhabu baada ya kumkosea Mungu.

Hivyo wanyama Wana nafasi kubwa mbele ya Mungu ijapokuwa binaadamu tunajiona ni Bora zaidi , tunawapiga, tunawatumikisha, tunawachinja, saa nyingine tunaowaita Haramu wakati haramu ni sisi tuliopewa adhabu na Mungu
 
Amina
 
umenena vyema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…