Mbwa mnyama mhuni sana kwenye ngono

Mbwa wahuni sana kwenye mapenzi kuliko wanyama wengine, mbwa haoni aibu kungonoka mbele za watu tofauti na paka yeye huenda mafichoni
Paka akizidiwa haibu anaweka pembeni, hujawahi ona paka wa Bar au mtaani wanabakana mbele za watu?
 
Huyu Mungu ulumkosea wapi?
 
Tatizo lenu Watanzania udini mwingi mahubiri kila kona, tushachokaga na mahubiri yenu, Tanzania bila Dini Inawezekana
 
Ndiyo maana wameitwa wanyama, sababu ya unyama...
 
Paka akizidiwa haibu anaweka pembeni, hujawahi ona paka wa Bar au mtaani wanabakana mbele za watu?
Paka wanafanya mapenzi zaidi ya binadamu, hadi style wanawekanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Paka jike anaulilia balaaa, nilisha wahi shuhudia, japo wanasema ni mkosi.
 
Paka wanafanya mapenzi zaidi ya binadamu, hadi style wanawekanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Paka jike anaulilia balaaa, nilisha wahi shuhudia, japo wanasema ni mkosi.
Mamaa cocastic umeongea ukweli ila hili suala la eti ukiona paka wanafilana ni mkosi ni uwongo mtupu ni sawa tu na baadhi ya watu waliodanganywa kuwa kula nguruwe ni haram lakini bado wanakula na hawajafa na mpaka hapa JF wapo wanakuja changia mada. Paka wetu anazaa karibu kila miezi 3 au 4 na muda wa kutiana yeye mwenyewe alivyo mwehu analeta waume zake toka huko mitaa ya Uswahilini anakuja kubakwa chini ya dirisha langu huku ukisikia anaguna kuashiria kuwa ana enjoy. Nimemshuhudia mara kibao na sioni mkosi wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ