Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa upo moshi au arusha ningeweza kukusaidia kupata lakini uko mbali
Hapana kaka,mimi kwa sasa sijaanza kuzalisha ila kuna watu ambao nafahamu wanauza na bei haipungui laki 3 na nusu kwa German Sherferd na kwa Rotweiller anaenda kwenye laki sita. Wote hao ni mbwa wakiwa na miezi 3Mkuu kama unao nisaidie kuwapata japo wawili Mkuu... Hebi ni-Pm details pamoja na gharama zao.
Hapana kaka,mimi kwa sasa sijaanza kuzalisha ila kuna watu ambao nafahamu wanauza na bei haipungui laki 3 na nusu kwa German Sherferd na kwa Rotweiller anaenda kwenye laki sita. Wote hao ni mbwa wakiwa na miezi 3
Ungekuwa Dar es Salaam tungekupa contacts; Dodoma ni issue! Lazima ujue unataka mbwa gani na una bajeti gani! Mbwa wazuri si chini ya 300000, crosse breed ya German na other breeds; pure GS ni laki 5 plus
Mkuu GS kwa Dar wanapatikana wapi? nawahitaji