MBWA WA MASAKI NA WATANDALE WAPI WANABWEKA SANA

MBWA WA MASAKI NA WATANDALE WAPI WANABWEKA SANA

hitler2006

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
489
Reaction score
454
Nimejikuta najiuliza tu swali hivi mbwa wa huko ushuani kama njiro,capripoint,osterbay nao wanabweka sana kama wa huku kwetu uswahilini maana huko ushuani nasikia wana majina eti mara german shephard...na wa huko wanashinda indoor well fed,wanaratiba ya kuonana na vet,lakini pia hawapati kadhia ya kupigwa na mawe kama wa huku uswahilini ambao kila siku nginja nginja,kipigo kwao,kula yao iko miguuni kusaka matonge madamponi na kwenye majalala huko sasa ndo hukutana na kunguru walafi ambao hubeba hata kile ambacho mbwa hawa wangekula.mwishowe hufa kwa njaa na rabies.....
 
Mbwa mara nyingi wanabweka wakiona wezi au mchawi....Masaki wizi na uchawi hamna kwahiyo mbwa wa ushwahilini ndio wanabweka sana kwa sababu wanaona maluelue mengi
 
Back
Top Bottom