Mbwa wangu wamerogwa


[emoji74][emoji74][emoji74][emoji74]anabweka akikosaa msosiii aisee huyo mbwa wako ni tegemezi anaishi kama yuko kwa shemeji yake [emoji81]
 
Nlimpa dawa za minyoo
Dawa za minyoo umejuaje Kama minyoo,? wenzako wanapeleka sua, au unamwita Dr wa mifugo, jirani yangu Dr wa mifugo, inaletwa mijibwa kutibiwa Mara nyingi tu,Mara nyingine watu wanamfata kutibia makwao mifugo yao.
 
Nitamksgua kesho niyakachofanya nawachukua wote kwenye gari naenda kuwatrlekrza mbali huko siez kaa na mijibwa inanitia gharama kuwalisha hata hayabweki
Lazima watarud, mbwa huwa wana tabia ya kunusa labda umpeleke wilaya nyingine lkn hapo hapo watarud tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…