mpolekabisa
Senior Member
- Oct 18, 2023
- 161
- 225
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cde,
Mbwa wako ni wazuri Sana, jitahidi uwape chanjo mapema na chakula Chao wape kizuri.
Jitahidi uwape maziwa Fresh changanya na mayai mabichi....
Nakupa week mbili tu watakuwa na afya nzuri Sana
Asante!
Huyu ni jike. Madume ni wale waliochanganya rangi nyeusi na dark tan. Ila kuna jike pia ambaye sehemu kubwa ni mweusi.Huyu ni dume au jike
Haifiki milioni, japo inakaribia! Maongezi yapo!!Unawauza milioni mia ngapi mia ngapi?
Mbwa ni wazuri, tatizo matuzombwa mzuriView attachment 2798258
Acha dharau basi, Yani mbwa wazuri hivo unawauza vilaki kweli? Si Bora uwagawe Bure tu ijulikane....Wewe ukisikia mwanao ameuzwa kwa efu hamsini utafurahi?Haifiki milioni, japo inakaribia! Maongezi yapo!!
Nitapost recent clip wakiwa kwenye lindo!! Washaanza kupata mafunzo ya ulinzi, discipline na loyalty!Mbwa ni wazuri, tatizo matuzo
Hiyo picha alikuwa na miezi miwili. Kwa sasa ana miezi 3. Mbwa wote wanapatiwa chakula kizuri sana, Ila alipitia changamoto kidogo akawa hapendi kula kama wenzake, changamoto hiyo ilishaisha. Nitapost picha yake ya sasa utamwona, yuko vizuri sana!! Nitapost na clip yake ya hivi karibuni akiwa anamkomalia na anamchachamalia mtu aliyetutembelea. Ukimsikia akibweka utafikiri ni mbwa mkubwa sana!! Ni jasiri usipime!!Hako keusi kaongezee lishe kamekonda sana
Ya nimekaona Kako tofauti na wenzie...nawaogopa sana mmbwa siwezi kuwafugaHiyo picha alikuwa na miezi miwili. Kwa sasa ana miezi 3. Mbwa wote wanapatiwa chakula kizuri sana, Ila alipitia changamoto kidogo akawa hapendi kula kama wenzake, changamoto hiyo ilishaisha. Nitapost picha yake ya sasa utamwona, yuko vizuri sana!! Nitapost na clip yake ya hivi karibuni akiwa anamkomalia na anamchachamalia mtu aliyetutembelea. Ukimsikia akibweka utafikiri ni mbwa mkubwa sana!! Ni jasiri usipime!!
Mbwa mmoja wakati nawapiga picha alikuwa kwenye changamoto hakuwa anapenda kula kama wenzake. Changamoto hiyo ilishaisha. Hiyo picha ni ya mwezi mmoja uliopita, nitapost recent clips & photos! Ninawafugia katika mazingira mazuri sana!! Wanahudumiwa kiafya na Veterinary Doctor. Unakaribishwa kwenye site if you are interested!! Hii project si ya kitoto!!Mbwa wako inaonekana hawapati msosi vizuri. Pengine hata mazingara wanayoishi ni siyo mazuri.
Ndo maana anawauza, fanya kama msaada ununue ili uwahudumie vizuri.. maisha kusaidianaHako keusi kaongezee lishe kamekonda sana
Ninavyowaogopa Sasa ooh ooh!Ndo maana anawauza, fanya kama msaada ununue ili uwahudumie vizuri.. maisha kusaidiana
Unajaribu tu utazoeaNinavyowaogopa Sasa ooh ooh!
Rottweller na pitbull ndio wana tabia hiyo,germany shepherd breed 1 safi sanaHawa wanakula sana usipo wapa chakula wao watakufanya chakula🤣🤣🤣
Hawa sio mbwa wazazi wa kijibwa cha Jemima Mrembo?WANAPATIKANA KIBAHA. KWA SASA WANA MIEZI 3