mbeyaboyfrancy
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 248
- 91
Ndo hapo sasa utawaona akina vuvuzela wanamkaribisha ofisini kwao....hii serikali ya chama cha kijani ya ajabu kweli kweli...Mungu abariki juhudi zake. Ikifikaga hatua hii tunajifanya wazalendoo huku tukitaja nchi kana kwamba serikali ilihusika kumfikisha hapo alipo.
Wasingemkaribisha mngesema serikali haijali...Hamna ajendaNdo hapo sasa utawaona akina vuvuzela wanamkaribisha ofisini kwao....hii serikali ya chama cha kijani ya ajabu kweli kweli...
E fmchanzo cha habari ni kipi? kiweke hapa
E fmTupe chanzo cha habari.