Mbwana Ally Samatta kujiunga na klabu ya AS Roma ya Italy

Status
Not open for further replies.

mbeyaboyfrancy

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
248
Reaction score
91
Habari zilizo mjini kwasasa nikuwa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya Genk Mbwana Samatta kesho atakuwa Nchini Italy kufanya mazungumzo ya kujiunga na klabu ya AS Roma ya Italy.

=========

KANUSHO: Mbwana Samatta tena mwenyewe ameongea " live " na E FM shortly na kasema kuwa hizo taarifa SI ZA KWELI na ZIMEPOTOSHWA ila akasema kuwa alichokimaanisha ni kwamba huko mbeleni angependa pia kucheza Ligi ya Italy SERIE A na Klabu aipendayo ya AS Roma.
 
Kila lakheri mana Roma ni Timu nzuri na yenye ushindani pia
 
Mungu abariki juhudi zake. Ikifikaga hatua hii tunajifanya wazalendoo huku tukitaja nchi kana kwamba serikali ilihusika kumfikisha hapo alipo.
 
Kama ni kweli mi ningemshauri akipige tena hapo genk walau msimu mwingine mmoja baada ya hapo nadhani mambo yakimuendea vizuri angepata ofa nyingi zaidi kwenye ligi zenye ushindani,ila all in all kila kheri kwake.
 
Massive archivement...hongera mingi kwake..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…