Kwanini wale mateja hawakamatwi na ndiyo wenye kujua sembe wanaipata wapi,tana wanatumia hadharani pale opposte na jengo la umoja wa vijana kuna bustani ya jiji wamekaa pale wanafanya vitu vyao, kweli Polisi hawajui au hawapiti pale?Serikali iliyo na dhamira ya kweli ingewasafisha mateja woote barabarani halafu wakafunguliwa mashtaka ya kutumia madawa ya kulevya au hakuna mashataka ya kesi ya namna hii ya kutumia au mpaka kidhibiti?kidhibiti ukimwona tu unajua huyu mtumiaji sasa ni kumchukua na kwenda kumpima kwa daktari kama wanavyopimwa wale wabakaji akionekana mtumiaji afungwe. mbona mbakaji lazima daktari athibishe .. Huo ndiyo ushauri wangu tunajua serikali imechoka tuisaidie kwa mawazo au kama kuna mtaji wa wanasiasa kwenye biashara hiyo ndiyo maana uchaguzi ukifika kuna kuwepo na pesa chafu watu wanakozitoa hazijulikani